Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Shida ya Lisu hajikiti kuongelea yaliyomo kwenye Ilani ya Chadema anapuyanga tu kifupi Chadema hawana mtetezi wa Ilani Yao tofauti na CCM CCM Huwa Iko focused muda wote huongelea Ilani ya Chama...
1 Reactions
13 Replies
136 Views
Wanajamvi Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku chunya mbeya, Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40 katika...
4 Reactions
47 Replies
301 Views
Andre Rene Roussimoff ni mwanamieleka wa kfaransa na pia ni muigizaji Amezaliwa mwaka 1946 na amefariki mwaka 1993 Huyu bwana anashikilia rekodi ya dunia kwa kunywa bia 119 ndani ya masaa...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Unatongoza binti mbichi kabisa wa 2000 mkifika kwa mkapa akivua jezi unakuta chale mgongoni,kwenye matiti au sehemu yeyote mwilini,ukimuuliza anakwambia nikiwa mdogo niliumwa sana ndio nikaoakwa...
1 Reactions
11 Replies
38 Views
Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda...
36 Reactions
247 Replies
7K Views
WAKATI Yanga ikiwa kwenye mchakato wa kusaka mbadala wa Joyce Lomalisa ambaye anatajwa kuachwa mwisho wa msimu huu, imebainika kuwa mshambuliaji Keneddy Musonda pia anampisha mtu. Musonda...
1 Reactions
8 Replies
425 Views
  • Sticky
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies. Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza...
68 Reactions
23K Replies
2M Views
Nijuavyo mimi wanawake wote wajibandikao kope na kucha bandia huwa hawamkubali aliyewaumba, ni wapinzani wa wazi wazi wapingao uumbaji wa Mungu. NB mtu yeyote anayepingana na MUNGU MUUMBAJI...
2 Reactions
43 Replies
331 Views
Mishe gani ambayo inachukuliwa poa mtaani ila wanaoifanya wanapiga vibunda?
3 Reactions
24 Replies
410 Views
Habari wakuu, Nimenunua Router ya airtel 5G (smart box), nimejiunga kifurushi cha unlimited cha 110,000/- kwa mwezi, nimepata changamoto ambayo hata airtel wenyewe wameshindwa kunisaidia. Nimeona...
14 Reactions
88 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,540
Posts
49,575,869
Back
Top Bottom