Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nijuavyo mimi wanawake wote wajibandikao kope na kucha bandia huwa hawamkubali aliyewaumba, ni wapinzani wa wazi wazi wapingao uumbaji wa Mungu. NB mtu yeyote anayepingana na MUNGU MUUMBAJI...
0 Reactions
4 Replies
31 Views
Inashangaza na inasikitisha kuona kijana ana miaka karibia 35 na hajawahi miliki hata gari la million nne, ukweli ni kwamba kwa dunia tuliyopo usafiri binafsi hauepukiki. Sijamaanisha ununue gari...
8 Reactions
70 Replies
485 Views
Nakuja kwenu komba kazi au connection ya kazi yoyote au aliye kazi ya usimamia ni mwadilifu na mwaminifu Asante mungu awabariki
8 Reactions
66 Replies
2K Views
Ifuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo : Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia Upatikanaji wa chakula Urahisi wa Usafiri Elimu Hali ya Hewa Huduma za maji Mitandao ya simu Usalama...
20 Reactions
167 Replies
5K Views
Wakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso... Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa...
1 Reactions
16 Replies
309 Views
  • Suggestion
Jamii nyingi za kitanzania zitabadili vitendo endeshi kwa watoto na kuwapa nafasi ya kuchagua maamuzi yaliyo Bora kwao. 1. Mimi Ni mmoja ninayepitia changamoto ya kufikia ninachokitaka kutokana na...
0 Reactions
1 Replies
6 Views
Imagine karne moja iliyopita kulikuwa na vita za kidunia Hitler na wenzake walihukumiwa na kuchorwa katika picha ya ugaidi,kiongozi wa kiimla,iddi amini dada alionekana ni the same,Gadadi na wengi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ukiwa alosto huna mia ya kutu wanakukwepa. Kipindi kile cha kujitafuta ukiwapiga kirungu cha buku ya nauli au bundle ili uweze kufanya mawasiliano wanakupa majibu ya kilokole. Utasikia asiefanya...
36 Reactions
65 Replies
1K Views
Huyu binti alikua mzuri, akapotea kama miezi mitatu hivi akarudi na tako kubwa tu na lips pana. Mimi sikuwa na hiyana nikamuita nimchangie gharama alizotumia huko (malegend tutaelewa) Sasa...
11 Reactions
41 Replies
720 Views
Habari ndugu zangu, nimekutana na utapeli wa kiwanja maeneo ya Kisota Kigamboni. Mpaka sasa nipo njia panda kupata haki yangu pamoja na wahanga wenzangu zaidi ya 10, ambao tumenunua viwanja...
8 Reactions
34 Replies
888 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,515
Posts
49,574,843
Back
Top Bottom