Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ni watu flani hasa wamiliki wa makampuni ya utalii, vituo vya mafuta, mabasi ya mikoani, n.k. wapo simple sana kimavazi, kimazungumzo na hata kimuonekano.
1 Reactions
8 Replies
100 Views
Ikitokea siku hapo ulipo ajiriwa ukikosa kazi Je una sehemu yoyote au mbinu yoyote ya haraka haraka unaweza tumia kuingiza pesa kwaajili ya mahitaji yako muhimu na ya msingi ?
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Tuongee ukweli kati ya Yammi na mke wa Barnabas nani mzuri be honest😜
3 Reactions
43 Replies
183 Views
Habari zenu wana jamvi! Leo niko hapa ndugu zangu kwa ajili ya kuomba wenu ushauri ya kipi nifanye ili kuweza kukaa vyema kiuchumi. Kisa changu kinaanzia hapa; Tangu nilipoacha masomo yangu ya...
3 Reactions
24 Replies
235 Views
Wakuu nipo dilemma mwenzenu, kuna msichana week jana tu hapa nimekumbana nae mtaani she seemed so hot 🔥, na sikuweza jizuia kuomba namba, tulianza kama urafiki hivi, days went by na bond flani...
1 Reactions
6 Replies
9 Views
Historia mwalimu mzuri, baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, kiongozi mkuu wa kitaifa aliyeenda kumpa pole ni mzanzibari, leo anatembea huku na kule akimtukana. Tundu Lissu alimkimbia...
6 Reactions
42 Replies
711 Views
Boeing has admitted that its Employees falsified aircraft records for the 787 Dreamliner.This is an extremely dangerous anomaly, especially with regards to safety.Given this extremely disturbing...
0 Reactions
2 Replies
50 Views
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo...
3 Reactions
144 Replies
2K Views
1. Mchaga akioa au kuolewa na Mpare, Muha au Mmasai. 2. Msukuma akioa Mbulu /Mrangi /Mnyaturu /Mmeru/Mchaga au Muiraki. 3. Mhehe akioa au kuolewa na Mbena, Mnyamwezi, Mngoni. 4. Mdigo akioa au...
5 Reactions
21 Replies
810 Views
Kibiashara ina make sense. Ingawa quality ya vyakula vyetu inakuwa compromised. Ebu tujaribu kudescribe baadhi ya matunda yetu kwa sasa, kwa kuanzia tu : 1) Nanasi: Ili la kisasa ni kubwa balaa...
3 Reactions
10 Replies
109 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,302
Posts
49,599,521
Back
Top Bottom