Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port •Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa) •Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani...
4 Reactions
29 Replies
1K Views
Ni mbunge wa Kahama mh Kishimba Amesema kama Mwanafunzi wa Degree ya miaka 4 akifika Mwaka wa 3 na kukosa Ada ya kuendelea na masomo basi Atunukiwe " Nusu Degree" Source: EATV CCM kuna Burudani...
7 Reactions
36 Replies
554 Views
Kama jibu ni ndio, basi huu ndio muonekano wako baada ya kujichubua.
2 Reactions
7 Replies
151 Views
My Take Naunga mkono hoja,hakuna excuses ya sijui Ardhi yetu sijui ya nani? Lazima Hifadhi Ilindwe.https://radiotadio.co.tz/loliondofm/2024/05/07/453/
3 Reactions
20 Replies
680 Views
Mambo ni moto Prof Kabudi wa Tume ya Wariioba enzi zile na Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe wako meza Kuu Kuongoza Mijadala wa Sheria za Uchaguzi Mjadala unafanyika Chuo Kikuu Cha DSM...
0 Reactions
3 Replies
169 Views
Hi mimi ni dada, natafuta marafiki wa ku chat nao siishi TZ na kuna muda na tu unatamani tu kupata wa nyumbani kuongea nae na ku exchange mawazo na uzoefu. Any age, and gender karibuni. Sina...
0 Reactions
12 Replies
203 Views
Utaratibu uliowekwa na mitandao ya simu kuwa kifurushi kinaisha muda wake siyo rafiki. Hii inamlazimisha mtu kupiga simu au kuangalia vitu vingine ambavyo siyo vya lazima ili tu awe amemaliza...
0 Reactions
1 Replies
12 Views
1. Yamekuwapo mazungumzo kwa azimio thabiti la makubaliano ya kusimamisha vita linaloendelea kujadiliwa kwa takribani miezi 2 sasa. Pendekezo hili likiwekwa mezani na Marekani, Qatar na Egypt kwa...
3 Reactions
19 Replies
310 Views
Wakuu..... Sina haja ya kuanza na salam, maana nimevurugwa. Ipo hivi..... Kwasasa nimehamishiwa Dar kikazi. Sasa one time nilialikwa na mwanangu Tupa niende kwenye pare ya kutimiza miaka 10 ya...
5 Reactions
50 Replies
549 Views
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo...
3 Reactions
125 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,275
Posts
49,598,674
Back
Top Bottom