Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa. Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA. Hongereni Sana Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na...
13 Reactions
154 Replies
2K Views
Niliwekwa ndani na mke wangu baada ya mimi kugoma kutoa mchango wa kumdhamini kaka yake aliyekamatwa na pembe za ndovu. Zilitakiwa milioni 5 kumdhamini kaka wa mke wangu, ndugu zake...
6 Reactions
20 Replies
205 Views
1. Yamekuwapo mazungumzo kwa azimio thabiti la makubaliano ya kusimamisha vita linaloendelea kujadiliwa kwa takribani miezi 2 sasa. Pendekezo hili likiwekwa mezani na Marekani, Qatar na Egypt kwa...
2 Reactions
13 Replies
221 Views
Habarini Wanajf Naomba kuelekezwa namna ya matumizi ya dawa za kuangamiza magugu sinazofahamika kama palizi. Nimelima alizeti maeneo ya Dodoma. Mimea ya Alizeti ilikuwa na magugu, nikaelekezwa...
0 Reactions
12 Replies
577 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania mambo...
8 Reactions
181 Replies
2K Views
Akili kubwa ametumia mtumishi wa Mungu kwenye hili la kikokotoo. ===== Pastor Daniel Mgogo: Kabla mtu hajastaafu apewe chake, siku ile anasaini fomu ya kwamba nimestaafu, muamala umesoma. Kuna...
4 Reactions
16 Replies
312 Views
Habarini, Katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku, unaweza jikuta unafanya kazi ofisi moja na mdada mrembo, she is young, hana mtoto, hajaolewa, unafanya nae kazi ofisi moja, unarusha...
9 Reactions
53 Replies
828 Views
Habari zenu wakuu..Mm ni mwanafunzi wa chuo nipo mwaka wa pili..nina jambo langu nahitaji nishiriki nanyi humu ndani...Nina pesa kama Mil 1.3 nahitaj nifanye biashara...lkn biashara niliyonayo...
11 Reactions
43 Replies
1K Views
Chadema na uongozi wenu jengeni chama mstumie muda mwingi kurumbana muda ni mdogo whoever atagombea urais ataliwa kichwa bora mkagombee kwenye majimbo tupate wabunge wa kujenga hoja. Hakuna wa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
<Marquee> kichwa Cha habari kinajieleza</Marquee>
0 Reactions
9 Replies
78 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,237
Posts
49,597,895
Back
Top Bottom