Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

URUSI: Vladimir Putin anatarajiwa kuapishwa leo Mei 7, 2024 kuendelea kuliongoza Taifa hilo kwa kipindi kingine cha miaka 6 huku akiwa ametawala kwa miaka 24 Putin alishinda Urais kwa takriban...
0 Reactions
5 Replies
208 Views
Hawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia...
12 Reactions
96 Replies
1K Views
Habari Kuna jambo limenitatiza sana, nina mke naishi nae ana mtoto mdogo ananyonyesha. Ameweka kitanzi kama njia za uzazi. Nilisafiri mkoani tukawa tunachart akaniambia nikifanya mapenzi na wewe...
22 Reactions
276 Replies
7K Views
Tanzania ni nchi yetu sote hatuna taifa jingine zaidi ya Mama Tanzania. Tukiwa kama watanzania wenye uchungu na taifa letu hatuna budi kulilinda dhidi ya maadui au chokochoko za aina zote. Kauli...
0 Reactions
16 Replies
173 Views
Wengi wanafahamu sekeseke la Loliondo Ngorongoro huku likipamba kasi baada ya Wamasai wote kuambiwa waondoke kinguvu. Clip ambatanishi hapo juu ni Makamu Mwenyekiti akiwa na ugeni mzito huko...
3 Reactions
11 Replies
273 Views
Advertising & Promotions, Marketing Research, Entertainment, Printing, General Traders and Supplies Nkrumah St/ Clock Tower, Plot No 685/86, Block 129, P.O. Box 1078, Dar es Salaam – Tanzania...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Chonde chonde CCM Msishupaze shingo. Watanganyika wa Sasa wengi ni form four. Wanaelewa vitu vingi, wanaelewa Nini maana ya Muungano. Wanachambua huku vijiweni hadi tunashituka. Kero hizi...
1 Reactions
11 Replies
137 Views
"University of Southern California Muslim students are praying Jumma (Friday prayer) and non-muslim students made a wall, surrounding them for their safety. How beautiful Scene!"
6 Reactions
49 Replies
966 Views
Katika vyama vya siasa vilivyo vingi Tanzania ikiwemo hata CCM yenyewe nivigumu kusikia kingozi au mwanachama akikosoa mwenendo wa chama au kiongozi wachama chake na asijikute katika wakati mgumu...
10 Reactions
28 Replies
852 Views
  • Suggestion
Tanzania tuitatayo katika suala zima la nishati yafuatayo yakizingatiwa nadhani tutakuwa tumejenga na siyo kubomoa. 1. Kuhakikisha umeme unafika maeneo yote ambayo bado yako gizani na sio kusema...
0 Reactions
2 Replies
35 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,823
Posts
49,586,278
Back
Top Bottom