Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari wanajamii mnakumbuka nilileta changamoto yangu amkusita kunishauri vyema Na sasa ule ushaur mlionipa umezaa Matunda nawashukuru kwakila mmojawapo Kwa kusoma story yangu nakutia chochote...
1 Reactions
1 Replies
13 Views
Tujikumbushe kidogo Wakati unasoma shule ya msingi wanafunzi wenzio walikuwa wanakuita jina gani la utani? na ulikuwa unalipenda au ulipendi
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Star wa nyimbo za gospel Christina Shusho dada anaonekana mtamu huyu sijui yule jamaa ake alifeli wapi.
9 Reactions
103 Replies
3K Views
Oyaa wazee wanawake wakisasa kuna kitu ibaidi waelewe,kwa sababu wanawake wa kisasa hawawafanyi wanaume kujihisi wanahitajika tena. Siku hizi, warembo wetu wamepata kipato zaidi ya wanaume...
6 Reactions
28 Replies
438 Views
Huwa najiuliza ingekuwaje tungepata uhuru mwaka 1919 baada ya Mjerumani kushindwa vita vya kwanza vya duni 1914 hadi 1918. Kumbuka tungekuwa nchi moja na Rwanda na Burundi. Je, tungetumia lugha...
1 Reactions
15 Replies
164 Views
Na.Comred Mbwana Allyamtu-CMCA Saturday 04/05/2024 Mpanda-Katavi Leo nazungumza na wanaotaka kuoa, "Mary who you understand and understand who you marry", ni lazima ujue yupi wa starehe na yupi...
3 Reactions
4 Replies
58 Views
Hii ni Scopes Trail (July 10–21, 1925, Dayton, Tennessee, U.S.); Ambapo Mwalimu wa Shule John T. Scopes alikuwa charged kwa ku-violate Sheria ya State ya kufundisha Evolution.... Case yenyewe...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Am new to the forum, kindly invite me in a warmly welcome note... I don't speak and write much Swahili... But 'll try out... Ciaao joh
1 Reactions
4 Replies
25 Views
LISSU ni mwanasiasa muongo, mfitini na mbaguzi kuwahi kutokea katika Taifa hili, Watanzania lazima muelewe vizuri hulka ya huyu ndugu yetu ambae wengi tunaamini baada ya ile ajali kwa sasa...
11 Reactions
94 Replies
1K Views
Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale. Barabara hii imejengwa chini ya viwango. Na tukumbuke waziri aliyehusika...
13 Reactions
105 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,947
Posts
49,590,090
Back
Top Bottom