Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna baadhi ya Viongozi wa serikalini Tanzania ni warafi kwelikweli yaani pamoja na kupewa posh na mishahara bado wanajikopesha pesa za miradi zinazotolewa za wafadhiri, Leo imekamilika wiki ya...
2 Reactions
12 Replies
203 Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
382K Replies
11M Views
Leo sina mambo mengi kabisa yaan,,ni hivi wakati muhimu kabisa wa kujua siri za mzungumzaji upande wa pili wa simu ni pale mnapomaliza mazungumzo na kukata simu. Yaan mda huo kama utaagana na mtu...
1 Reactions
15 Replies
227 Views
Hamas imetoa tangazo rasmi la kukubali mapendekezo ya kusitisha vita na kuachia baadhi ya madai yao. Tangazo hilo limeleta furaha kubwa kwa watu wa Gaza na hata Israel japo limekuja huku Israel...
1 Reactions
70 Replies
2K Views
Kwa utendaji huu uliotukukuka wa Rais Samia huenda 2026 bunge litakosa Wapinzani labda wapewe upendeleo maalumu Wadau hamjamboni nyote Huo ndiyo ukweli na lazima usemwe kuwa Rais Samia amefanya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Naandika kwa mara ya nne. TAMISEMI kushirikiana na Wizara ya Afya nchini Tanzania walipata ufadhili na World Bank (WB) kuajiri watumishi wa afya ajira mkataba wa miaka mitatu. Wamejitahidi...
2 Reactions
57 Replies
800 Views
Wakuu Nyumba- thaman yake ni milion 12M vyumba vitatu na kimoja cha nje Imefanyiwa wiring bado umeme lakin vyote umeme na maji vyote vipo jiran tu nyumba ya pili ni kuvuta ty Gari nalotaka...
4 Reactions
54 Replies
371 Views
Taarifa njema iliyotufikia hivi sasa inaeleza kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kinatarajia kutoa Ratiba mpya ya Maandamano ya Amani yenye lengo la kupinga Ugumu wa Maisha...
7 Reactions
55 Replies
919 Views
Naamini kuna mambo mengi yanayochangia migogogoro na kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa wakati huu Ila Naomba nielezee hii sababu majawapo ambayo ni Wanaume wengi au vijana pengine niwaite wavulana...
9 Reactions
69 Replies
959 Views
Ndugu mnaosumbuliwa na vidonda vya tumbo, Tumezoea humu JF raia wakitoa ushuhuda juu ya dawa fulani kuwa imemsaidia kuponya matatizo yake na kushauri na wengine kwenda kuinunua hiyo dawa. Mimi...
8 Reactions
35 Replies
16K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,014
Posts
49,592,363
Back
Top Bottom