Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ulimwengu wa sasa tulipofika na pabaya mno, usodoma unasambaa kwa kasi na una mbinu nyingi sana za usambaa !!! Sio jambo la kulifumbia macho wala kulipuuzia, Kwa kasi ambayo usodoma huu unasambaa...
1 Reactions
19 Replies
133 Views
Hello! Jf family I'm looking for matured women to start a new life chapter with. I'm Christian, 35 yrs with one kid, if you're interested and you're 24 -30 yrs please leave a message in...
5 Reactions
49 Replies
295 Views
Naandika kwa mara ya nne. TAMISEMI kushirikiana na Wizara ya Afya nchini Tanzania walipata ufadhili na World Bank (WB) kuajiri watumishi wa afya ajira mkataba wa miaka mitatu. Wamejitahidi...
2 Reactions
56 Replies
800 Views
Wadau nawasabahi. Uchaguzi ndio huo unakaribia. CHADEMA wameshinda pambano lao dhidi ya Halima Mdee na kundi lake kwa kuishawishi Mahakama Kuu kuthibitisha uhalali wao wa kuwafukuza Halima Mdee...
7 Reactions
79 Replies
1K Views
Salaam wandugu, Kumekuwa na malalamiko mengi sana yatokanayo na mambo ya mahusiano,uchumba na ndoa. Malalamiko haya mara nyingi yamesababishwa na kitu kinachoitwa UAMINIFU. Mwanaume anataka mke...
5 Reactions
42 Replies
431 Views
Wakuu Nyumba- thaman yake ni milion 12M vyumba vitatu na kimoja cha nje Imefanyiwa wiring bado umeme lakin vyote umeme na maji vyote vipo jiran tu nyumba ya pili ni kuvuta ty Gari nalotaka...
4 Reactions
53 Replies
371 Views
"Kuna clip moja mimi nimeipata, Rais Samia alipokuwa madarakani Lissu alisema Rais Samia amebadilisha upepo wa siasa, nilikuwa na kesi 6 za hovyo hovyo zimefutwa na mama anafanya kazi nzuri. Sasa...
0 Reactions
10 Replies
310 Views
Inashangaza unakuta mfanyakazi mwenzako kasoma Sawa ana master ila kuandika kuomba hela za miradi Kwa ma donors wetu hawezi sijui niseme hana idea wakati kila kitu kipo Google ni yeye kusuka tu...
4 Reactions
8 Replies
98 Views
Leo sina mambo mengi kabisa yaan,,ni hivi wakati muhimu kabisa wa kujua siri za mzungumzaji upande wa pili wa simu ni pale mnapomaliza mazungumzo na kukata simu. Yaan mda huo kama utaagana na mtu...
1 Reactions
13 Replies
227 Views
Mimi Nina umri wa miaka 63. Nina watoto na wajukuu. Mke wangu tulishaachana kitambo. Natafuta dogo dogo wakumspoil awe na umri kuanzia miaka 18 mpaka 30 juu ya hapo sitaki maana huyo ni Mzee...
1 Reactions
12 Replies
93 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,014
Posts
49,592,363
Back
Top Bottom