Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mimi nliwahi nusurika kuzama baharini, pale Coco beach. Kipindi nasoma nna kama miaka 17 niliingia na wenzangu kwenye maji ila upande wangu sikushika boya nliingia kama nlivyo, usawa wa magoti...
73 Reactions
418 Replies
14K Views
Siyo mzaha jamaa kwa biashara wako vzr sna Kuna mtaa naishi hapa dodoma Basi kulifunguliwa vi car wash Kama mbili tatu hv na baadae mchaga mmoja ambae Ni Dr wa Benjamin mkapa nae akaja kuanzisha...
6 Reactions
42 Replies
741 Views
Kuna ukweli tunatotakiwa kuufafanua na kama ni kero irekebishwe kama kweli tunafikiri muungano huu ni wa muhimu. 1. Wazanzibar wengi sana wanamiliki ardhi na majengo bara, kama raia. ila Wabara...
2 Reactions
10 Replies
123 Views
Mzuka wanajamvi! Yuko london Ungereza endeleeni sasa kuroga na kumuombea mabaya. Anachowaombea tu ni wawili muishi maisha marefu na msiwe vipofu. Kufa hamfi lakini cha moto mnaona.
3 Reactions
17 Replies
231 Views
Kama mada tajwa hapo juu ilivyo Kama kuna muuzaji wa pikipiki hizi za kichina anitajie orodha ya aina ya pikipiki alizonazo awake na bei nikielewa nitamfuata mwenyewe pm
0 Reactions
1 Replies
12 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
924 Reactions
1M Replies
40M Views
The Weekend - Out of Time
18 Reactions
4K Replies
68K Views
Je? Ukiwa mtumishi wa serikali ukitaka kujiendeleza kimasomo ngazi ya shahada unaruhusiwa kuomba MKOPO kutoka HESLB
2 Reactions
28 Replies
636 Views
FedhaBook: Mfumo wa kusimamia hesabu za biashara yako hata kama upo mbali na biashara yako Okoa muda na kujichosha kupiga mahesabu kwa kichwa na kalamu na daftari na uutumie muda huo kufanya...
6 Reactions
12 Replies
180 Views
  • Suggestion
Mtazamo wa elimu yetu ni kuwa elimu ni njia ya kupata fedha na maisha bora, Tumekuwa tukiona walimu, wazazi/walezi, viongozi wa serikali na jamii ikihamasisha watoto kuzingatia elimu ili baadae...
0 Reactions
1 Replies
32 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,619
Posts
49,579,794
Members
668,073
Latest member
Bruno Nemes
Back
Top Bottom