Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Lissu na timu yake ile inayotaka kujitenga CHADEMA (Msigwa na John), ni Wanufaika wa Muungano wa Zanzibar na Tanganyika, Wamesomeshwa na Matunda ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
1 Reactions
34 Replies
364 Views
Mimi nliwahi nusurika kuzama baharini, pale Coco beach. Kipindi nasoma nna kama miaka 17 niliingia na wenzangu kwenye maji ila upande wangu sikushika boya nliingia kama nlivyo, usawa wa magoti...
80 Reactions
502 Replies
18K Views
Habari za jioni,Nina kama shilingi za kitanzania 350,000/= je ni simu gani nzuri ya Android ambayo naweza kupata kwa pesa hii ama chini ya hapo. Niliwahi kuandika thread kama hii kuhusu simu za...
2 Reactions
658 Replies
132K Views
Huwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi...
2 Reactions
33 Replies
600 Views
Ni napenda n ninafurahishwa jinsi wasanii wetu walivyokuwa na inventive n innovative minds kwenye kuja n ideas mpya za music. Hii ngoma way back ya country, ni trap kama ckosei. At last nimeskia...
1 Reactions
1 Replies
19 Views
Ifuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo : Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia Upatikanaji wa chakula Urahisi wa Usafiri Elimu Hali ya Hewa Huduma za maji Mitandao ya simu Usalama...
8 Reactions
37 Replies
1K Views
Aliyesema kilimo ni uti wa mgongo au kale kamsemo ka mhenga kuwa kama mnataka mali mtayapata shambani aje Zanzibar. Hata ule msemo wa kwenye bible kuwa asiyefanya kazi asile aje Unguja atengue...
20 Reactions
74 Replies
2K Views
https://youtu.be/86vSal-Mwkc?si=QMUDUEam0cbA4C44 My Take Tuhitimishe au tuendelee kuwasubiri wengine?
11 Reactions
44 Replies
982 Views
Unaweza kutune Star tv Kipindi linaendelea Kabla ya kulala Unono mtakuwa mmejipatia uhondo Ni Pambalu vs Mtozi 😂
2 Reactions
10 Replies
416 Views
1. Wafanyakazi wanatema nyongo kuwa rais kakimbia hoja za kikokotoo Mei mosi. 2. Lisu anasema rais mzanzibari anaouza rasilimali za Tanganyika kwa wajomba zake waarabu. 3. Wanaccm wanalalamikia...
2 Reactions
1 Replies
115 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,792
Posts
49,584,944
Back
Top Bottom