Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

MBUNGE JAFARI CHEGE AMESEMA KIONGOZI MZURI NI YULE ANAYEWEKA ALAMA KWA WANANCHI Mbunge wa Jimbo la Rorya, Mhe. Jafari Wambura Chege amesema ndani ya siku 30 Serikali itaanza matengenezo ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nina jamaa zangu wa makabila haya kwakweli kusoma chats zao huwa ni mateso sana. Wenzangu mmewahi kumbana na hili? Unaweza weka screenshot bila kuonesha namba au jina la mhusika.
4 Reactions
17 Replies
107 Views
Tuwekane sawa #Kwanza kabisa zaidi ya 90% ya wanaume wenye shida ya nguvu za kiume ni just psychological / shida ya kisaikolojia tu. #Pili kwa wanawake Kiuhalisia hakuna mwanaume atakuoa...
32 Reactions
200 Replies
7K Views
Mnec Richard Kasesela Leo amefika KKKT Kimara na Kutubu huku akilia sana baada ya kumkuta Mtu aliyemfukuza Kazi Iringa Mjini akiwa ni Muhubiri anayetumainiwa hapa jijini DSM Mwinjilisti Mwaulesi...
19 Reactions
60 Replies
3K Views
Habari za usiku huu wana JF, naomba msaada wa haraka, mimi na mke wangu tupo mbali kidogo, leo ameniambia hajapata choo kwa siku saba, nimechanganyikiwa hapa sijui nifanyeje na tumbo linamuuma hatari
1 Reactions
33 Replies
169 Views
Kampeni za kuchangishana zimekua nyingi sana, wakiwa wazima mpaka wanajirekodi wakilawitiana, sasahivi ni kutia huruma tuu, watu maarufu wanapenda sana kuchangiwa na walala hoi
3 Reactions
62 Replies
799 Views
Habari za weekend wakuu poleni na majukumu ya wiki nzima… Niende kwenye mada, nina eneo la kutosha na lenye banda la kisasa maeneo ya CHANIKA-Dar nimeanza ufugaji wa Ng’ombe kwasasa yupo mmoja...
0 Reactions
4 Replies
45 Views
Kwa miaka zaidi ya ishirini wananchi wa kata hizo hapo juu kwenye manispaa ya Kigamboni tumekuwa kwenye hatari za maisha ya umiliki wa ardhi yetu umekuwa hauna hatma. Ilianza kwa Jeshi miaka ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wajameni eeh, Nimebahatika "kupata" mahala ka mtaji. Ni kiasi cha Shs. milioni kumi tu, (10,000,000/=) za Kitanzania. Nipeni mapendekezo nizi invest wapi, kivipi na matarajio ya faida (i.e...
36 Reactions
2K Replies
562K Views
Siku ya jana Kanisa la wasabato mafia limebomolewa na kimbunga cha hidaya Siku ya jana pia mvua zimebomoa msikiti saudi arabia Binafsi najiuliza Mungu mwenye nguvu mbona hazilindi nyumba...
-1 Reactions
4 Replies
8 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,194
Posts
49,567,081
Members
667,816
Latest member
mambatz
Back
Top Bottom