Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimetembea na wake za watu sana, kwa uozo nilioushuhudia niliapa kabisaa sintakuja kuoa ila leo nimetengua kauli yangu, jamani mapenzi matamu asikwambie mtu, duh! Nimempata binti, mtoto mdogo...
7 Reactions
57 Replies
344 Views
Tofauti kabisa na kina Malisa GJ, Maria Sarungi au Martin Maranja ambao hawana kabisa uvumilivu kwa yeyote atakayekuwa kinyume na mawazo yao hawa wanaJF wanapaswa kutunukiwa tuzo za uvumilivu kwa...
2 Reactions
3 Replies
41 Views
Kama unataka kuwa mwanasiasa maarufu Tanzania basi wewe onesha unapambana na CHADEMA. Kuna wakati Mzee Wasira aliomba kura ndani ya CCM kwa hoja kwamba yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na...
3 Reactions
10 Replies
52 Views
Habari wakuu. Nahitaji mtu mwenye Google Developer Console niweze kununua. Nahitaji kwa Ajili ya kuendeshea blog. Napatikana 0692 76 33 06
0 Reactions
4 Replies
28 Views
Habari wana JF Matumaini yangu wote mko poa kabisa. Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
261 Reactions
425K Replies
15M Views
13 APRIL 2024 1 MIN READ South Afrika yaongoza duniani kwa kuwa na wanawake wenye viuno pana na umbo la kuvutia Afrika Kusini ilishika nafasi ya kwanza, ikiwa na wastani wa nyonga ya inchi 41.73...
4 Reactions
15 Replies
255 Views
Ukipita mitaani ni kilio Cha Kikokotoo kwa kila Mstaafu unayekutana naye Ukiwa Mjini Posta kila kona kuna majengo makubwa makubwa ya mifuko ya Kijamii wamepangisha Wahindi na taasisi zao Ndio...
4 Reactions
9 Replies
69 Views
Kwahiyo Yeye Mkewe hachepuki, Yeye hachepuki na kwamba Yeye ni Mtakatifu sana katika Mahusiano na Saikolojia? Tafadhali mwenye Picha ya Mke wa Dk. Chris Mauki tafadhali aiweke hapa ili labda wenye...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
La Kwangu GENTAMYCINE nitaliweka mwishoni kabisa mwa Kurasa ya mwisho zitakazotokana na huu Uzi wangu hapa Ok?
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Nipo kwenye mahusiano na mlimbwende mmoja (mchepuko); ambaye ameamua kuwa na mimi pale mama watoto anapokuwa mbali nami kijiografia. Nimekuwa nampa shoo za ukweli mara kwa mara, na hii...
9 Reactions
25 Replies
864 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,062
Posts
49,563,523
Members
667,772
Latest member
Lili Levy
Back
Top Bottom