Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu, ingekuwa vyema tukapata updates za kimbunga Hidaya kama kilivyotabiriwa hapa kwenye huu uzi. Kwa wale walio mikoa ya pwani hali ikoje uliko? Ni tahadhari gani umechukua? Kufuatilia hali...
6 Reactions
325 Replies
17K Views
13 APRIL 2024 1 MIN READ South Afrika yaongoza duniani kwa kuwa na wanawake wenye viuno pana na umbo la kuvutia Afrika Kusini ilishika nafasi ya kwanza, ikiwa na wastani wa nyonga ya inchi 41.73...
6 Reactions
70 Replies
2K Views
Sehemu ya kwanza Katikati ya msitu mnene, giza zito likiwa limetanda kila kona ya msitu huo alionekana kijana akikimbia huku jasho likimtoka ni dhahiri alikuwa amekimbia kwa muda mrefu sana na...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Kawaida ya Waajiriwa wengi, kuweka Akina,Saving account kwenye benki zetu,kwaajiri ya usalamq.Account hizo Kuna ledger fees unalipa, huingizi chochote. Nikushauri,Wekeza kwenye masoko ya...
7 Reactions
9 Replies
99 Views
Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k...
229 Reactions
401K Replies
32M Views
Pafukapo moshi ujue kuna moto, Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti. Kikao...
8 Reactions
104 Replies
3K Views
Hii imekuwa mpya kwangu katika harakati za kutafuta kibarua. Nmeambiwa niandike proposal ya namna ambavyo ntaweza kuongeza wateja na kukuza biashara. Ni upande wa Administration ya Hotel.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hizi mbinu ninazo wapa haimaanishi kwamba mimi binafsi nimezitumia au nilishawahi kuzitumia ila hii inatokana na uzoefu wangu mdogo humu jamvini Kwakuwa wanawake wanapenda mambo mazuri basi...
4 Reactions
16 Replies
85 Views
Nimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa. mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo. Nina mawazo kuacha kazi...
3 Reactions
13 Replies
87 Views
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili. Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba...
21 Reactions
139 Replies
6K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,136
Posts
49,565,401
Members
667,805
Latest member
ZouhAlly
Back
Top Bottom