Celebrities anaabudu pombe na Mademu. Siku likimkuta Jambo anaaibika hadharani kabla na baada ya Maziko, watoto wanabaki kugawana makochi na harrier old model.
NB: Tengeneza future ya wategemezi...
Dunia ya leo kila kitu kiko kwenye mitandao, Mh. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, ni muda muafaka kuhakikisha maeneo ya Vyuo na Shule za Secondary internet inapatikana bure...
Aisee inasikitisha sana sijui nilipapendea stress ama kitu gani yaani watu wamepagawa hatari jamani tembea muoneni watu Wana shit hatari wanatukana wamekuwa waongo wanatukana hatari ila hawapigani...
Mimi ni kijana.. mchangamfu na mcheshi.
Umri wangu miaka 26
Mshahara wangu kwa mwezi ni laki 4.
Natafuta rafiki wa kike,
Comment vizuri nikufate PM
Vidume wajuzi mtanisaidia nipate rafik...
Mashabiki wasimba wakubali kuwa nao ni tatizo tena kubwa sana kuliko hata mabenchi ya ufundi yote yaliyopita kwani tangu msimu uliopita tulikuwa tunawaambia hii Simba ni mbovu wakawa wabishi huku...
Dr Hussein Mwinyi Daktari wa binadamu na Rais wa Zanzibari kuwa Rais wa JMT 2025 na mgombea mwenza wake Ni Dr Titus Mlengeya kamani huyu ni waziri mstaafu na Daktari wa Wanyamapori Tanzania
Ni vizuri mkafanya vikao vya ndani, kurekebisha na kusahihisha kasoro na dosari zinazoonekana mpaka nje ya chama, ambazo zinaweza kuathiri taswira, umoja na maelewano ya viongozi waandamizi wa...
Topic KWANINI YESU ASURUBIWE MLIMA WA GOLGOTA WALA SI MLIMA MWINGINE?
Israel ina milima mingi hata
Yerusalemu imezungukwa na milima
Samari ina milima .Yer 31.5
Karmeli nao ni mlima ,Yer 46:18...
Nimepita bar fulani ina mgahawa, nimeulisa nyama choma wakasema kipande 6,000, nikasema anifungie.
Sasa nyama imechomwa, imefungwa kwenye kile kifuko cha karatasi cha khaki, ndani kuna foil...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.