Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Japokuwa huu muungano ni kichefu chefu tu kwa wazanzibar lakini ukweli mchungu ni kuwa, bila huruma na upendo wa Tanganyika basi huenda Zanzibar tusiweze kutoboa hata miezi mitatu. Kuanzia...
26 Reactions
151 Replies
3K Views
Mmepita huku insta mkaona harambee ya watoto wa mjini?? Wanachangisha michango Ili kuleta mwili wa dada mmoja aliefikia uturuki katika harakati za surgery ya kuweka makalio, kwahyo inasemakana...
0 Reactions
40 Replies
243 Views
Sanjari na alivyokuwa akisisitza Nyerere (RIP): "Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita...
2 Reactions
10 Replies
171 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
923 Reactions
1M Replies
40M Views
Nafanya kautafiti kadogo kutambua Uzalendo Wakati wa Vita na Uzalendo Wakati wa Anasa UPI ni Uzalendo sahihi mbele ya macho ya Mungu wa mbinguni Kwa mfano 1978/79 watu waliwaacha Wapendwa wao na...
1 Reactions
15 Replies
62 Views
Ndio tittle ya uzi huu... Sote tunajua matokeo ya mabadiliko ya sayansi na teknolojia kupelekea vijana wengi kutumia fursa hio vizuri wengine wanatumia vibaya. kuna watu wanatumia teknolojia...
1 Reactions
2 Replies
7 Views
Kindly refer to the heading above.. Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116] Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no...
10 Reactions
190 Replies
1K Views
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo. Nikaona nimuowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie...
13 Reactions
54 Replies
2K Views
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili. Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba...
16 Reactions
102 Replies
3K Views
Je Ulijikausha? Uliomba samahani? Ulijifanya kuibiwa simu? Ulichomokaje kwenye hii soo?
1 Reactions
15 Replies
295 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,994
Posts
49,561,780
Members
667,720
Latest member
AISHAT RASHID
Back
Top Bottom