Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana...
7 Reactions
201 Replies
4K Views
Moja kwa moja kwenye mada… Huyu rafiki yangu alinitongoza sana. Yani miaka 3 straight anafukuzia tu, nipe nipe.. Mapenzi game la nyoka bwana, nikaachika huko. Nikasema nimpe chance huyu mgaagaa...
60 Reactions
280 Replies
6K Views
Kawaida ya Waajiriwa wengi, kuweka Akina,Saving account kwenye benki zetu,kwaajiri ya usalamq.Account hizo Kuna ledger fees unalipa, huingizi chochote. Nikushauri,Wekeza kwenye masoko ya...
2 Reactions
2 Replies
3 Views
Kwa kweli shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi ya kutisha dhidi ya sarafu nyingine. Ukitaka kujua kuwa shillingi yetu inaporomoka kwa kasi linganisha bei ya bidhaa kwa leo na ulinganishe na...
23 Reactions
86 Replies
2K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
513K Replies
29M Views
ukata wa fedha, sera na mikakati mibovu isiyo na tija ya kuwaunganisha wanachama wao imekua ni chanzo cha kuzorota kwa hamasa katika harakati zao mitandaoni na mtaani. maandamano yamekosa mvuto...
2 Reactions
23 Replies
231 Views
TUNA CHANGAMOTO KUBWA SANA YA MABINT WANAJIUZA KIJANJA JANJA Na Comrade Ally Maftah JITU LA MIRABA Baada ya kupitia changamoto za kutengana na aliyekuwa mke wangu, nilianza heka heka za kutafuta...
2 Reactions
12 Replies
248 Views
A 30-year-old from Dar es Salaam is on the loose and craving some dinner company tonight! After a week of work in your lovely city, he's ready to spice up his evening with good food and even...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Kindly refer to the heading above.. Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116] Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no...
39 Reactions
441 Replies
4K Views
Habari wana JF, Nina shida na kazi yoyote. Mimi ni kijana wa miaka 25 nimefanikiwa kufika form six, changamoto ya ada ikanifanya niishie mwaka wa kwanza MBEYA UNIVERSITY (MUST) nataman kuludi...
1 Reactions
4 Replies
58 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,131
Posts
49,565,289
Members
667,804
Latest member
ZouhAlly
Back
Top Bottom