Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Aje Mazee Hapa kijijini niishipo hapa hakuna kijana wa lika langu anaemiliki gari Sasa ndugu bwana Fene nipo mbioni kumiliki gari Nitakuja hapa WanaJf munipe muongozo Nipo njiani kumiliki...
3 Reactions
4 Replies
22 Views
Uzee dawa, Uzee hekima. Maneno ya Rais Museven kwenye mkutani wa viongozi wakuu barani Afrika kuhusu maendeleo. Msikilize mwenyewe kwenye hiyo video hapo chini. Bigup sana Museven.
2 Reactions
22 Replies
476 Views
Kuna muda ukipata hela wenzako unaofanyanao kazi kama wanajua umepata hela ni bora kuweka Airplane mode kuepuka Mizinga 😃 , simu zitaingia Kama zote , utasikia Mkuu mbona kimya unaniachaje
3 Reactions
13 Replies
95 Views
Wataalam habari ya majukumu. When i want to download pdf, word and excel files i get the pop up message "WhatsApp download failed. Please try again later". Nimetafuta na kujaribu tutorial youtube...
0 Reactions
4 Replies
76 Views
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina...
24 Reactions
140 Replies
3K Views
daaah wakuu kuna mtu kanifuata inbox kaniambia ni HR wa kampuni mpya ya kutengeneza juice ipo chalinze akaniambia nimtumie vyeti nikamtumia, akaniambia kwenye vyeti vyangu kuna sehemu ambapo...
12 Reactions
36 Replies
761 Views
Godbless Lema ameandika ukurasani X Halafu wakitoka hapo wanasema CCM inatoa Fomu Moja Siasa za Tanzania pasua kichwa sana aiseee ==== Nimeona andiko la BOB Wangwe na maandiko mengine ya watu...
6 Reactions
82 Replies
3K Views
Kumekuwa na manung'uniko mengi linapokuja suala la muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar huku kila upande ukionesha kutoridhishwa na muungano huu. Suala la muungano tangu kuanza kwa kwake mpaka...
7 Reactions
26 Replies
462 Views
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500, Wali ule unaouzwa 2000 maeneo mengine hapa...
14 Reactions
67 Replies
864 Views
Baadhi ya wanawake ambao tangu utotoni wameishi bila kumuona baba mzazi au hawakuwa na maelewano mazuri na baba zao mzazi huonyesha tabia zifuatazo ukubwani; 1. Kung'ang'ania mahusiano yenye...
7 Reactions
52 Replies
991 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,582
Posts
49,578,907
Members
668,043
Latest member
Frank_1
Back
Top Bottom