Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Israel imeamua ku jamming GPS kuogopa kipigo toka Irani cha Missile na Drone za mauaji. Wamesahau kua Irani anatumia GLONAS ya Mrusi ambayo inapenya popote Wakati huohuo Magaidi wa Kizayuni...
1 Reactions
28 Replies
1K Views
Ajali hiyo inaonesha kutokea katika barabara kuu ambapo dereva akiwa na abiria wake walipata ajali na kupelekea pikipiki kuwaka moto, abiria akiwa pembeni huku wasamaria wema wakijaribu kumnasua...
10 Reactions
140 Replies
4K Views
Kwa barabara za mjini Dar, ujenzi wake ni kila mwaka, barabara hizi hujengwa kwa gharama kubwa, lakini kila mwaka zinatengeneza mashimo. Ukiangalia zile barabara zilizojengwa na kampuni ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Naitwa BUSHI nafanya biashara ya vyuma chakavu kama unazo kuanzia tani 2 wasiliana 0788162538 mkoa wowote Tanzania.
0 Reactions
1 Replies
20 Views
Inaeleweka wazi kukaribiana au kupakana na kisiwa ni hatari kwa security ya nchi ndo mana nyerer aliona mbali na kukinyakua. Sasa akina lisu wenye akili finyu hilo hawalioni na wengine wenye fikra...
5 Reactions
32 Replies
397 Views
Wakuu, ingekuwa vyema tukapata updates za kimbunga Hidaya kama kilivyotabiriwa hapa kwenye huu uzi. Kwa wale walio mikoa ya pwani hali ikoje uliko? Ni tahadhari gani umechukua? Kufuatilia hali...
4 Reactions
101 Replies
4K Views
Siasa ni mchezo fulani hivi na mara nyingi safu za Uongozi wa Upinzani hupangwa na CCM. Ndio sababu Zitto Kabwe alipotaka kwenda CCM akawe Waziri, Rais wa Wakati Ule alimwamuru asubiri kwanza...
1 Reactions
26 Replies
316 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
513K Replies
29M Views
Wakuu nataka nikapumzike Cape Town kama siku 3 hivi. Ndege gani nitapata ticket cheap? Nimechek Rwandair, Ethiopian na Kenya Airways Direct flight to CPT ni maumivu matupu. Eg. KQ (Dar-CPT-Dar)...
4 Reactions
57 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji 2011 Nissan Xtrail ukubwa wa Engine uwe kati ya 2 mpaka 2.5 cc. Niagize wapi Kati ya Japan na Afrika Kusini?
5 Reactions
20 Replies
315 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,878
Posts
49,558,093
Members
667,686
Latest member
Shagihelo
Back
Top Bottom