Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kama wenye siasa huwa hakuna adui wala rafiki wa kudumu basi ni vyema hawa watu wamalize tofauti zao na tuwaone wakipambania Nchi. Lissu atoke Chadema na Makonda atoke CCM. -Wote ni wazalendo -...
4 Reactions
43 Replies
618 Views
Japokuwa huu muungano ni kichefu chefu tu kwa wazanzibar lakini ukweli mchungu ni kuwa, bila huruma na upendo wa Tanganyika basi huenda Zanzibar tusiweze kutoboa hata miezi mitatu. Kuanzia...
15 Reactions
71 Replies
1K Views
Moja kwa moja kwenye mada… Huyu rafiki yangu alinitongoza sana. Yani miaka 3 straight anafukuzia tu, nipe nipe.. Mapenzi game la nyoka bwana, nikaachika huko. Nikasema nimpe chance huyu mgaagaa...
49 Reactions
237 Replies
4K Views
Nimefurahi sana leo, shabiki wa Simba Pasi Milioni ametishia kumburuza mahakamani aliyekuwa kocha wa Simba Benchika kwa madai kuwa alitaka kuua vipaji vya akina Edwin Balua, Karabaka, Duchu na...
2 Reactions
8 Replies
430 Views
Sakata la Maofisa wa Serikali waliojitengenezea mfumo bandia wa Makusanyo ya Fedha za Umma limezidi kushika Kasi na kuchukua sura Mpya. Awali TAKUKURU iliwatia mbaroni watuhimiwa 40 lakini baada...
1 Reactions
20 Replies
569 Views
Wakuu, ingekuwa vyema tukapata updates za kimbunga Hidaya kama kilivyotabiriwa hapa kwenye huu uzi. Kwa wale walio mikoa ya pwani hali ikoje uliko? Ni tahadhari gani umechukua? Kufuatilia hali...
4 Reactions
207 Replies
10K Views
Nimeiona hii video ya kijana Ali mwenye ulemavu na tatizo la kifafa. Nimesikitika sana alichofanyiwa na wananchi wenzetu wa Zanzibar. Huyu kijana kwa wanaomjua wanasema amekulia Sinza na ni...
17 Reactions
190 Replies
5K Views
Kwa mujibu wa data kutoka Tume ya Madini na Wizara ya Madini zilizowasilishwa Bungeni 2024 zimeonesha kwamba Soko la Madini ya Dhahabu la Chunya-Mbeya limechangia mabilioni kwenye Mapato ya Nchi...
0 Reactions
7 Replies
136 Views
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo. Nikaona nimuowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie...
8 Reactions
43 Replies
2K Views
FOREVER BEDROOM PACK ( KIFURUSHI ) 1. ARGI + 2. MULTI MACA 3. VITOLIZE FOR MEN Na Comrade Ally Maftah JITU LA MIRABA. ARGI +. (FOREVER ARGI PLUS ) 🫴🏾Kirutubisho hiki kipo kwenye mfumo wa unga...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,947
Posts
49,560,089
Members
667,715
Latest member
mwanae
Back
Top Bottom