Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Pambalu anagugumia kwa maumivu baada ya kunyang'wa gari la idara yake bila maelezo zaidi ya kuambiwa ni amari kutoka kwa mwenyekiti. Hii inatokea wakati ametanganza nia...
0 Reactions
5 Replies
143 Views
"Barnaba usijisahau kama umemuoa mtoto wa nani, unajua kabisa wewe ni mume wa mtu unaenda kupiga picha kama zile, umeweka mkono kwenye chup! ya mwanamke mwingine wakati unajua hiyo ni nguo ya...
4 Reactions
17 Replies
145 Views
Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k...
229 Reactions
401K Replies
32M Views
Wakuu nataka nikapumzike Cape Town kama siku 3 hivi. Ndege gani nitapata ticket cheap? Nimechek Rwandair, Ethiopian na Kenya Airways Direct flight to CPT ni maumivu matupu. Eg. KQ (Dar-CPT-Dar)...
3 Reactions
52 Replies
1K Views
Mm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze Mke anavutia sna napatwa na wasi...
4 Reactions
11 Replies
65 Views
Majibu ya Tundu Antipas Lissu kwa Wakuli Msomi Fatma Karume mjukuu wa muasisi wa Muungano yamenitisha lakini naogopa zaidi kama Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Othman Masoud na msaidizi wake Ismail...
4 Reactions
64 Replies
2K Views
Wakuu. Mapenzi ya Watanzania kwa SUV pendwa Mazda CX-5 yanazidi kujionesha kwa Mtandao maarufu wa kuingiza Magari kutoka Japan kuiweka katika magari 10 yanayoingizwa sana Tanzania na kushika...
22 Reactions
147 Replies
9K Views
Wanaukumbi. Bunge la Marekani limepitisha kitendo ambacho kinapiga marufuku kabisa kuongea na kupinga Israel. Hata ukihubiri sehemu za biblia zinazosema wazi siku ambazo Wayahudi walimuua Kristo...
2 Reactions
34 Replies
1K Views
Wengi wanaopenda kusema hii kauli ya TAFUTA HELA ni mafukara wazuri tu na ndio maana kuna muda naiona miyeyusho.
1 Reactions
24 Replies
166 Views
Raia 12 wa Malawi ni miongoni mwa raia 40 wa Kigeni waliokamatwa baada ya kuacha kazi kwenye mashamba ya Arava na Lion kutokana na kulipwa Ujira mdogo na kwenda kutafuta kazi za zenye malipo bora...
0 Reactions
8 Replies
92 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,762
Posts
49,554,501
Members
667,631
Latest member
petro isamba
Back
Top Bottom