Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mzuka wanajamvi! Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain. Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa...
4 Reactions
43 Replies
392 Views
Naomba kueleweshwa, kinachosababisha Tanganyika na Zanzibar ziitwe nchi zilizoungana ni kipi? Nauliza haya kwa sababu 1.) Kila nchi ina Rais wake 2.) Kila nchi ina katiba yake 3.) Kila nchi...
13 Reactions
62 Replies
2K Views
Za jioni wadau, Naomba mchango wa mawazo yenu, nikiwa na milioni 170 za kitanzania naweza wekeza wapi pesa hii nikapata rejesho lenye tija? Kwangu mimi rejesho lenye tija ni angalau milioni 2...
12 Reactions
85 Replies
5K Views
Zamani ilikuwa inajulikana kuna vijana wa hovyo walikuwa wakijiita wadudu wa dampo jijini Arusha ambao hasahasa walikuwa wakijihusisha na muziki wa Hiphop. Na hata wengi wao walikuwa wakivuka...
2 Reactions
13 Replies
192 Views
Habari nilizonazo tayari Prince Dube amesaini mkataba na Yanga wa miaka miwili. Tutegemee kumuona Dube akikiwasha Jangwani msimu ujao.
5 Reactions
33 Replies
1K Views
Ni kampuni ya Payment & Digital Solutions. Tuna leseni ya BOT na payment system ambao inafanya kazi mwaka wa 3 sasa. We want to expand massively na tayari kuna makampuni makubwa ambayo tayari...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Match Day. NBC Premier League. Simba vs Mtibwa Azam Complex 04.00 PM Leo majira ya saa kumi jioni timu ya Simba itawakaribisha wageni wao timu ya Mtibwa katika mechi ya NBC premier league ikiwa...
5 Reactions
109 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili pendwa. Natumaini mko swafi na mnaendelea kuupiga mwingi. Bila kupoteza muda niende kwenye mada Kuna kautafiti binafsi nimekafanya ili kuona tofauti kati ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
  • Suggestion
Utangulizi Zipo teknolojia nyingi sana ambazo ni kama zimetupita barani Afrika hususan nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara ikiwemo Taifa la Tanzania. Katika teknolojia hizi zilizotupita kidogo...
0 Reactions
5 Replies
127 Views
Habarini Case in point ni huyu blord wa Nigeria, huenda wengi humu hamumfahamu, huyu kijana ana miaka 26 tu ni ceo wa kampuni yake ya jetpay kule Nigeria, lifestyle analoishi si mchezo, yani...
0 Reactions
16 Replies
152 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,828
Posts
49,556,315
Members
667,672
Latest member
Rozy2022
Back
Top Bottom