Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Arusha imebarikiwa sana katika maliasili, mazingira na hali ya hewa. Bahati mbaya INA WATU WASHAMBA SANA. Nimewaona hata hawa vijana wanaojiita wadudu nikajisemea tu kuwa hiki ni kielelezo...
14 Reactions
57 Replies
1K Views
Siri Yafichuka Ndani Ya Equity Bank, Mmiliki Wa Gazeti La Jamvi La Habari Alipewa Tender Na Swahiba Wake Zenda Baada ya mgao kuzulumiana wameanza kutajana njama chafu za Equity Bank walipogawa...
2 Reactions
10 Replies
65 Views
Sikiliza Afande Sele alivyowashukia CHADEMA hapa
1 Reactions
13 Replies
228 Views
  • Suggestion
Tanzania ina jumla ya kilomita 181602.2 za mtandao wa barabara, chini ya mgawanyo wa Kilomita 37225.5 barabara za kitaifa (barabara kuu na za kimkoa) na kilomita 144376.5 barabara za kiwilaya...
0 Reactions
3 Replies
40 Views
Haiwezekani kama nchi maskini tuendelee kubembelezana kuijua vizuri hii lugha muhimu ya kibiashara duniani. Kama tunatakiwa kufanya export zaidi ya products na services zetu hatuwezi kukwepa...
1 Reactions
18 Replies
117 Views
Salaam enyi wanachama wa kataa ndoa, Mimi kama katibu mwenezi wa kataa ndoa. Ime nibidi kuwa andikia tena wanachama wetu, ili kuzidi kushikilia misimamo na utaratibu wetu wa kukataa ndoa. Lakini...
1 Reactions
13 Replies
22 Views
Akiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe. Aidha Lissu...
10 Reactions
68 Replies
2K Views
Wakuu, ingekuwa vyema tukapata updates za kimbunga Hidaya kama kilivyotabiriwa hapa kwenye huu uzi. Kwa wale walio mikoa ya pwani hali ikoje uliko? Ni tahadhari gani umechukua? Kufuatilia hali...
4 Reactions
46 Replies
1K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
163K Replies
4M Views
Ajali hiyo inaonesha kutokea katika barabara kuu ambapo dereva akiwa na abiria wake walipata ajali na kupelekea pikipiki kuwaka moto, abiria akiwa pembeni huku wasamaria wema wakijaribu kumnasua...
10 Reactions
116 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,850,810
Posts
49,555,554
Members
667,656
Latest member
WhiteShadow
Back
Top Bottom