Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mnyonge mnyongeni, lkn haki yake mpeni. Baniani mbaya, kiatu chake dawa. Ni misemo baadhi ambayo makonda inaweza kumfaa kuelezea namna alivyo. Makonda kama angekua kwenye movie basi ni wale...
5 Reactions
30 Replies
464 Views
Hahahaaaa taja faida kwa ñini unaishi single!
1 Reactions
13 Replies
38 Views
1. Ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi 2. Ndio waliofanya Tanzania bara izinduke kiupinzani wa siasa za upinzani 3. Ndio waanzilishi wa hizi Tv 4. Waanzilishi wa biashara 5. Hawanuniliki wapinzani...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kuna wanawake wawili niliwahi kuwatokea wakati huo kwa kipindi tofautitofauti wakati nikiwa single sababu niliona ni watu sahihi 1.Nilimwambia dhamira yangu kweli aliniambia kwamba ana mtu wake...
0 Reactions
2 Replies
11 Views
Mafundi waliopelekwa nyumbani kufanya ukarabati au ujenzi wa nyumba wametumia mwanya huo kuchora ramani na kukariri vitu mbalimbali kwenye nyumba hiyo, pale waliposafiri na kumuacha housegirl...
4 Reactions
23 Replies
219 Views
CHRISTINA SHUSHO AMEMKOSEA MUMEWE, ATUBU Kitendo cha Christina Shusho kusema kwamba aliozeshwa akiwa mdogo bila idhini yake ni kumdhalilisha huyo aliyekuwa mume wake kwamba alikuwa mkubwa sana...
2 Reactions
47 Replies
572 Views
Kibu analeta sanaa ya mpira kama walifanya wakina Fei na Dube, Simba wajiandae kwa lolote Kiungo mshambuliaji wa Simba sc Kibu Densi amegoma kusaini mkataba mpya akiwa ameweka vikwazo vingi kwa...
3 Reactions
12 Replies
361 Views
Licha ya kuwa na timu nzuri,mipango mingi ya kimafia nje ya uwanja,na ushindi dhidi ya Simba,bado kumekuwa na kubebwa sana kwa hii timu ya serikali. Ni kawaida wachezaji wa hii timu huwa na...
2 Reactions
26 Replies
778 Views
Najiuliza Kama kipindi hicho angekuwa na Maono ya Hawa machawa sijui angesemaje - Sababu Kama Mjinga akiambiwa / akijifunza anaelewa; Na Mpumbavu ni Kipaji yeye anabisha tu na akiambiwa haelewi...
1 Reactions
20 Replies
844 Views
Nimeiona hii video ya kijana Ali mwenye ulemavu na tatizo la kifafa. Nimesikitika sana alichofanyiwa na wananchi wenzetu wa Zanzibar. Huyu kijana kwa wanaomjua wanasema amekulia Sinza na ni...
15 Reactions
165 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,850,521
Posts
49,549,133
Members
667,529
Latest member
Gerard lupin
Back
Top Bottom