Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

  • Poll
INTRO Watu wengi wanaopenda kudadisi na kutafakari undani na ukweli wa mambo . Mara nyingi hugundua kwamba mfumo wetu wa maisha kiujumla una maswali mengi sana abayo hayana majibu kamili...
75 Reactions
4K Replies
254K Views
Wanafunzi sita wa shule ya mtakatifu John Paul II ya mkoani Shinyanga walienda kutoa mahindi kwenye kihenge cha shule lakini yalishindwa kutoka wakiwa na mwalimu wa zamu katika usimamizi wa...
0 Reactions
8 Replies
9 Views
  • Suggestion
Hata sidhani kama story itatosha kitabu, ila kiuhalisia mitandao ya kijamii na teknolojia kiujumla imebadilisha dira nzima ya Tanzania. Hivyo kupelekea tamaduni na mila halisi walizoacha kina...
0 Reactions
1 Replies
21 Views
Akizungumza na wananchi wa Iringa, leo Mei 2, 2024, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia anatumia picha za viongozi waandamizi wa Chama chake akiwemo yeye kuweka mabango...
18 Reactions
53 Replies
1K Views
Tuwekane sawa #Kwanza kabisa zaidi ya 90% ya wanaume wenye shida ya nguvu za kiume ni just psychological / shida ya kisaikolojia tu. #Pili kwa wanawake Kiuhalisia hakuna mwanaume atakuoa...
3 Reactions
41 Replies
355 Views
Katika matunda ya asili ya Afrika ni matikiti tu ndiyo yanalimwa sana. Mengine yameachwa maporini na yanazidi kupotea. Kwa nini Afrika hatulimi matunda yetu ya asili? Ni matunda gani ya asili...
8 Reactions
62 Replies
727 Views
Wakuu habari zenu, naulizia wapi nitapata kiatu hiki na bei mwenye kujua tafadhali duka na location. Nb.Nipo Dar Es Salaam.
1 Reactions
11 Replies
308 Views
A
Anonymous
Siku za karibuni kumekuwa na wimbi la uuzwaji wa wazi wa madawa ya kulevya aina ya Heroin katika stendi kuu ya mabasi ya Arusha. Vijana wanavuta unga waziwazi bila ya kificho, na wanaongezeka...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Salam kwenu. Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje ! 1. Changu 2. Sato 3. Kibua 4. Sangara 5. Kambare 6. Perege 7. Migebuka 8. Pweza 9...
3 Reactions
269 Replies
49K Views
Sultan Tamba na kundi lake la Tamba Arts group ambapo humo ndani unakutana na waigizaji kama Riyama Ally, Mwajabu Kazimili (Bi Nyamisi),Rehema Msangule (Doreen Nsyuka),Sanjo,Ringo,Chilisosi, nk...
17 Reactions
117 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,850,549
Posts
49,549,846
Members
667,539
Latest member
manageble
Back
Top Bottom