Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mabingwa wa nchi Young Africans leo wanashuka dimbani kumenyana na Tabora United katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CRDB Bank Federation cup. Mchezo huu utapigwa katika dimba la chamazi...
15 Reactions
166 Replies
3K Views
1. Kwamba kinachoendelea Marekani ni jitihada za Serikali ya huko kupinga haki ya watu kujieleza?! 2. Kutokuheshimiwa huku kwa wazi kwa misingi ya kawaida kabisa ya utawala wa sheria, ni wa...
1 Reactions
23 Replies
181 Views
Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika ukurasa wake wa Whatsapp ameandika haya, 👇👇 ==== " Mapema leo jijini Nairobi nchini Kenya nikihutubia katika Mkutano wa Shirikisho la Maendeleo la...
11 Reactions
33 Replies
1K Views
Wakuu waliotunga Sheria ya Mtanganyika kutoruhusiwa kumliki ardhi Zanzibar wakati wazanzibar wanarusiwa kumliki ardhi Bara waliwaza nini? Kuna jamaa amekaa Zanzibar miaka miwili na kapata kiasi...
5 Reactions
88 Replies
10K Views
Mwenyekiti UVCCM Kagera Farisi Buruhani akiwa kwenye ziara yake wilayani Muleba. Wakiwa kwenye mwendo wa hali ya juu. Walikutana na wanafunzi wakitoka shuleni majira ya saa Tisa Mchana. Gari...
2 Reactions
5 Replies
324 Views
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imesema kampuni ya DP World ya Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imeanza kushusha vifaa katika Bandari ya Dar es Salaam kuanza uwekezaji...
14 Reactions
84 Replies
2K Views
Hali ya umaskini Kwa Wafanyakazi wa Umma Kwa Tanzania ni kubwa sana. Just imagine yaani 60% ya Watumishi wote wa Umma wanalipwa chini ya 500k. Pamoja na kulipwa kiasi hicho kidogo Bado wanakatwa...
8 Reactions
26 Replies
735 Views
Mifano ni matajiri wengi tunaowajua kina Mo, Bakhresa, Gsm, ni biashara za familia na ndugu wa karibu, ni team work. Pia kwa upande wetu watanzania wa asili ukienda kwenye masoko makubwa...
1 Reactions
2 Replies
39 Views
Viongozi wanatulaumu wananchi wakihisi huwenda sisi ndio sababu ya nchi kutokupiga hatua, huku sisi wananchi kwa 100% tukiutupa mzigo mzima wa lawama kwa viongozi maana wao ndio watunga sera zote...
1 Reactions
4 Replies
111 Views
Nawatakia heri wafanyakazi wote. Mh. Rais nachukua fursa hii kukumbusha tu tangu uingie madarakani baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli haujaanzisha mradi wowote mkubwa wa kimkakati. Kazi...
0 Reactions
5 Replies
94 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,262
Posts
49,541,572
Members
667,376
Latest member
kawatega01
Back
Top Bottom