PAND PIERI
Senior Member
- Jul 30, 2020
- 183
- 270
Wakuu waliotunga Sheria ya Mtanganyika kutoruhusiwa kumliki ardhi Zanzibar wakati wazanzibar wanarusiwa kumliki ardhi Bara waliwaza nini?
Kuna jamaa amekaa Zanzibar miaka miwili na kapata kiasi kadhaa akataka anunue eneo ajenge kibanda chake nje ya mji, amechoka maneno ya wenye nyumba. Cha ajabu kakosa kwa sababu za kijinga na ikanipelekea kujiuliza maswali mengi kwa kujua au kutojua swala yanayohusu Muungano.
Wanaojua Sheria watusaidie hapa naona Leo nitalala mabusu kwa haya sababu, na sanasana hiyo ya kiubaguzi,kwa kweli kauli ya kiubaguzi kinauma kuliko matusi.
Kuna jamaa amekaa Zanzibar miaka miwili na kapata kiasi kadhaa akataka anunue eneo ajenge kibanda chake nje ya mji, amechoka maneno ya wenye nyumba. Cha ajabu kakosa kwa sababu za kijinga na ikanipelekea kujiuliza maswali mengi kwa kujua au kutojua swala yanayohusu Muungano.
- Mtanganyika harusiwi kumiliki ardhi Zanzibar kisheria
- Mtanganyika harusiwi kuwa na kitambulisho cha Mzanzibar mkazi
- Pamoja na harufu ya kiubaguzi wa kidini ,inawekwa kwenye sababu ya kukosa ardhi (Jirani wa eneo alilotaka kununua jamaa katoa kauli ya kiubaguzi wa kidini nanukuu !! "huyu kafiri atajenganje karibu na sie").
Wanaojua Sheria watusaidie hapa naona Leo nitalala mabusu kwa haya sababu, na sanasana hiyo ya kiubaguzi,kwa kweli kauli ya kiubaguzi kinauma kuliko matusi.