Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari zenu viongozi, Kesho nina mpango wa kutembea jiji zima kuomba internship, je naweza kuambatanisha barua ya maombi na vyeti vya degree pekee? Lengo la kufanya hivi ni kuwashawishi waajiri...
2 Reactions
12 Replies
141 Views
Magaidi wa ISIS wenye mlengo wa kiislamu wakiri ndio waliua kwenye msikiti wa waislamu kule Afghanistan Vigumu sana kuelewa mlivyo nyie watu....kuuana ndio zenu. Halafu mnalia lia udini. Islamic...
3 Reactions
18 Replies
371 Views
Wadada wa jf Mke wa mdogo wangu anampenda sana dogo, anaplay part zote za wife Na wamezaa watoto 2 Shida imeakuja miezi michache iliyopita ni kwamba shemeji hataki kufanya sex kabisa Dogo...
4 Reactions
37 Replies
932 Views
KASHFA KAIMU AFISA MTENDAJI DSE, MSHUKIWA NAMBA MOJA USAJILI WA KAMPUNI YA KITAPELI YA JATU. Duh! Hatari sana. Wakati tukisubiri Board ya DSE waje na majibu kwanini wali-approve kampuni feki...
7 Reactions
14 Replies
297 Views
Hakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu...
4 Reactions
8 Replies
152 Views
Katika kuelekea World Press Freedom Day, ambayo huadhimishwa kila tarehe 3 Mei, waandishi waliandaa marathon ya kilomita 10. Mbio hizo zilifanyika Dodoma ambao wanatasnia wa habari wamekusanyika...
4 Reactions
23 Replies
509 Views
Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma. Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
23 Reactions
161 Replies
10K Views
Hii inawahusu watoto wanaoasiliwa wakiwa wadogo, kabla ya "kujitambua". Ukiema usubiri mpaka awe mtu mzima ndipo umwambie ukweli, inaweza isiwe sahihi. Kunaweza kumwumiza nafsi kufahamu kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kwenu TBS naomba kujua ni halali kuuza sukari iliyowekwa kwenye mifuko Tena ya kilo Moja haioneshi imetoka wapi Wala Haina expire date. Hii ipo Tukuyu maeneo ya Kiwira, KKK, Tukuyu mjini, sasa...
4 Reactions
54 Replies
875 Views
Hizi familia zina nini. Alieondoka kadai familia, Benchika nae familia problem. Na mimi nimeamua kuhamia rasmi Yanga kutokana na matatizo ya kifamilia.
9 Reactions
16 Replies
274 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,246
Posts
49,541,064
Members
667,369
Latest member
slasymagai
Back
Top Bottom