Huyu mtu naona katumwa siyo bure kabisa.
Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa.
Huyu...
MH MKUU WA WILAYA YA KINONDON
KUNA KJJIOO KIMEKUJA MAKAZI MAPYA MAENEO YA MBEZI BEACH
MPAKA SASA WANANCHI WAMEKISIMAMISHA KUINGIA MTON
TUNAOMBA KUJUULIZA UNAKIJUQ NA KAMA U
NAKIJUA IWEJE...
Kwa usahihi na usalama: Fuatilia stock, mauzo, matumizi na faida. Simamia biashara yako popote ulipo! Hakuna kuumiza kichwa. Pata kila kitu unachohitaji kwa ujasiri kuendesha Biashara yako.
Mfumo...
Kufuatia kauli aliyoitoa hadharani siku chache baada ya muasisi wa Tanzania, Julius Nyerere kufariki Oktoba 14, 1999 Mtikila alisema “Nyerere alifariki kwa ugonjwa wa UKIMWI, ni mzoga, nyamafu na...
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA
PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 1 MEI 2024
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za...
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.
Huwa najiuliza...
Ndugu zangu Watanzania,
Sina maneno mengi zaidi ya inavyosomeka hapo juu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania...
Kulingana na ripoti hiyo, mhudumu aliyeuawa alisababisha uharibifu kwa vituo vya Wayahudi nchini Ujerumani.
Israel ilimlenga na kumuangamiza mfanyakazi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya...
Huyu dogo amekuwa analeta threads nyingi sana humu jf kwa ID tofauti tofauti huku akijifanya siyo yeye hivyo kusababishia watu kuchangia nyuzi hizo kwa mood tofauti tofauti. Mfano Leo kaleta uzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.