Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali. Matokeo ya kura...
84 Reactions
629 Replies
16K Views
Tupo Kariakoo unaletewa bidhaa ndo unalipa kwa aliyeko Dar-es-Salaam punguzo lipo. 0713520180
2 Reactions
188 Replies
6K Views
Najua kuna watu watakuja hapa kunishanga na kunishambulia ila kwakuwa huwa najiamini kwa kile ambacho nakisema na nakimaanisha wala sitojali. Narudia tena Mpambe yoyote yule wa Rais (ADC) tena...
8 Reactions
84 Replies
1K Views
BADOO NAJIULIZA BENCHIKA KAUMWA NA MKEWEE KISA CHA KUINDOKA NA WASAIDIZI WANAENDA MTIBIA MKEWEE AMA KUMSAIDIA KUMUUGUZAA SIMBA MSIITUTANIEEE BANAAA MTUACHE
0 Reactions
2 Replies
8 Views
Historia haisemi kabisa kabisa iwapo kuna taifa la Kiislamu limewahi kuandamana kupinga mauwaji ya Wakirsto na ama Wayahudi na bila shaka ni tangu Uislamu uwahi kuwepo Duniani, hii ni tofauti...
3 Reactions
37 Replies
536 Views
Nimekua nikifuatilia mijadala mingi sana ya viongozi wetu, na kugundua kwamba tofauti na watanganyika, wenzetu wazanzibari wote kwa pamoja wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano...
7 Reactions
22 Replies
270 Views
A
Wakazi wa Mbeya Mjini tunapata shida kubwa kipindi hiki cha mvua, barabara za mitaa zimeharibika sana, miundombinu imekua ni changamoto kubwa, barabara hazipitiki. Maji yanapita barabarani, yaani...
3 Reactions
9 Replies
175 Views
Penzi ni kikohozi, tunaandika kama mzaha lakini madhara yake ni makubwa sana. Hii inawahusu zaidi wavulana kwa sababu wao ndio wenye maamuzi ya kuoa. Ewe kijana sikiliza kwa makini ukimpata...
13 Reactions
58 Replies
723 Views
HAYA NDIO MAKABILA 125 YA TANZANIA ANDIKA NAMBA YA KABILA LAKO UWAJUE NDUGUZO 1. Waalagwa (pia wanaitwa Wasi) 2. Waakiek 3. Wameru 4. Waassa 5. Wabarabaig (pia wanaitwa Wamang’ati) 6. Wabembe 7...
1 Reactions
22 Replies
181 Views
Oiii wananzengo Niko dilema hapa na msala niko na manzi yangu we are almost a year now nampenda and i think she loves me sababu kanivumilia vingi mnooooo ila ana shida moja uzazi wake unasumbua...
3 Reactions
24 Replies
205 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,822
Posts
49,528,924
Members
667,243
Latest member
Malise
Back
Top Bottom