Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Shunie Extrovert Jimena FRANC THE GREAT The 13 Mnazareth Daudi Mchambuzi Dinazarde Carleen Wangari Maathai Mshana Jr
24 Reactions
6K Replies
121K Views
# Wao wanajiita Wazanzibar Katiba yao inaitwa ya Zanzibar Serikali yao ya Mapinduzi Ya Zanzibar Wao wanatuita Watanzania bara Watanganyika Wabongo Sisi Watanganyika tukiwaita Wazanzibar kuwa ni...
2 Reactions
4 Replies
5 Views
Nafasi ya Waziri Mkuu Tanzania imekuwa mwiba mchungu kwa miaka mingi dhidi ya Marais waliopo Madarakani. Pamoja na kwamba Marais ushiriki kupendezekaza jina la Waziri Mkuu; wengi uwaona kama watu...
4 Reactions
16 Replies
678 Views
Moja kati ya vitu vizuri na kuvutia zaidi ni kuona jina zuri aliloku sev mwandani wako Mbali na kutia faraja ila pia huleta hari kujihisi furaha kwa mwenza Je umesev vipi jina la kipenzi chako...
1 Reactions
43 Replies
70 Views
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu...
129 Reactions
2K Replies
169K Views
"...uwe na uwezo wa kuwaambia jamaa zako na marafiki zako, Ikulu ni mahali patakatifu, Mimi sikuchaguliwa na wananchi wa Watanzania kuja kupageuza kuwa pango la walanguzi.."
2 Reactions
5 Replies
71 Views
Kichwa cha uzi cha husika, Kwanza nawasalimu wote katika jina la mwokozi ambaye ni Mungu wa kweli muumba mbingu na nchi. Niende direct, miongoni mwa watu walio hustle kitaa baada ya kuhitimu chuo...
17 Reactions
22 Replies
1K Views
Nikiangalia ujezi wa reli ya SGR naona una track moja tu inayotoka Dar es Salaam mpaka Dodoma na ujenzi wa kwenda maeneo mengine kama Mwanza na Kigoma ukiendelea. Kuna matarajio makubwa sana...
3 Reactions
15 Replies
171 Views
Kufuatia Hali na mambo yalivyo ni Dhahiri kwamba sasa tutakubaliana kwamba kuna watu wachache mno wanacontrol Dunia nzima kwenye aspects zote ikiwemo za maisha. Na lengo sio kupata pesa ila ni...
2 Reactions
4 Replies
159 Views
Nini sababu na tiba ya kusahau hususani kwa kijana? Wakati nasoma nilikuwa bingwa wa kumeza hadi wahuni wangu wakawa wanastaajabu naweza vipi yaani definition hata iwe ni kurasa nzima basi...
1 Reactions
8 Replies
10 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,635
Posts
49,524,290
Members
667,181
Latest member
Enodius
Back
Top Bottom