Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa. Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki. Wapo...
39 Reactions
380 Replies
16K Views
Uzi maalumu kwa watu waliokuwa wanahudhuria nyumba za ibada na baaadaye kuacha, weka sababu yako hapa, we unayehudhuria tupe sababu ya kuhudhuria (achana na zile za dini yangu ni bora, na ya kweli...
3 Reactions
30 Replies
355 Views
Mwanzoni sikuwa naamini kuwa ushoga unashika kasi kubwa nchini Tanzania mpaka pale nilipoanza kufuatilia baadhi ya mabadiliko mitaanj na kwenye mitandao ya kijamii. Kati ya mitandao ya kijamii...
2 Reactions
4 Replies
22 Views
Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza anayesoma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambaye jina lake halijawekwa wazi inadaiwa ametaka kufanya jaribio la kujiua akiwa chuoni hapo chanzo kikitajwa ni masuala ya...
11 Reactions
102 Replies
4K Views
LIPA KWA M-PESA Ni laini ambazo zimetengenezwa kwa ajili ya wafanyabiashara wooote iwe online business, Sheri, Hotel,Guest House, makampuni mbali mbali n.k. Hiyo yote ni kwa ajili ya kuuzia bidhaa...
1 Reactions
21 Replies
268 Views
Kozi ya bachelor of arts in economics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gan?
1 Reactions
8 Replies
155 Views
Habarini wakuu, Ukiacha advertising platform kama facebook , instagram na twitter nani yupo familiar na google ads namaanisha vitu kama gharama, namna ya kudeliver na vitu vingine muhimu Maana...
0 Reactions
3 Replies
49 Views
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo, Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu...
25 Reactions
93 Replies
2K Views
Madereva wa Bolt na Uber wanaongoza kuharibu biashara hii ya usafiri na endapo kampuni hizi hazitachukua hatua basi zitakufa hivi karibuni -Madereva hawa huwa wanachelewa sana kumfwata mteja...
8 Reactions
12 Replies
229 Views
Hivi ni kwanini jua linapochomoza na linapokaribia kuzama sio Kali sana kama linavyokuwa muda wa mchana? Wajuzi karibuni. Asante sana.
4 Reactions
32 Replies
463 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,961
Posts
49,501,917
Members
666,900
Latest member
Unyade wade
Back
Top Bottom