Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu hii point inajisimamia yenyewe kabisa wala haihitaji kujaziwa nyama nyingi kiviiile maana mengi yako wazi sana kwa sasa - hali ya kitaa inajulikana jinsi kulivyo kwa moto[emoji3533] -...
7 Reactions
15 Replies
128 Views
Hii game imesimamishwa kwa sababu ya Radi. Dakika 21' Weather conditions cause a suspension of play. The referee brings play to a halt and signals for both teams to head to the changeroom with...
11 Reactions
180 Replies
4K Views
Jana usiku katika kusherehekea mambo ya muungano, ikabidi nitoke na bebi wangu tukaenda kiwanja kimoja; tukawa tunapiga maji yetu machungu kama kawaida yetu. Kutokana na mazingira kuwa na 'vibe'...
0 Reactions
6 Replies
7 Views
Ndugu zangu watanzania, Mwamba Paul Christian Makonda ndio maana anapendwa sana na wananchi wanyonge na wa hali ya chini wenye maisha ya kawaida na ya kutafuta mkate na chakula kila siku pale jua...
0 Reactions
10 Replies
82 Views
Uzi maalumu kwa watu waliokuwa wanahudhuria nyumba za ibada na baaadaye kuacha, weka sababu yako hapa, we unayehudhuria tupe sababu ya kuhudhuria (achana na zile za dini yangu ni bora, na ya kweli...
9 Reactions
97 Replies
2K Views
Wawili hao wamewekwa mahabusu kwa masaa zaidi ya 40 kwa kosa linalodaiwa kuwa Uchochezi na kuzua Taharuki . Walikamatwa na Jeshi la Polisi kwa amri ya RPC Muliro ambaye ndiye mlalamikaji Mkuu ...
2 Reactions
2 Replies
3 Views
Vetting ya viongozi wa Zanzibar na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bara inafanyika kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hii ni sehemu ya mfumo wa Muungano kati ya...
0 Reactions
1 Replies
13 Views
A
Anonymous (7cb5)
Mwalimu MWALUKASA wa Shule ya Sekondari JM KIKWETE, Halmshauri ya Mji Tunduma Mkoani Songwe anayefanyabiashara ya kuuza karanga shuleni analalamikiwa na Wanafunzi kuwalazimisha kununua karanga na...
11 Reactions
66 Replies
2K Views
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam bado linaendelea kuwashikilia Boniface Jacob na Godlisten Malisa. Wanatuhumiwa kwa makosa ya uchochezi na kuzua taharuki katika jamii. Polisi...
7 Reactions
115 Replies
4K Views
Wakili msomi Fatma Karume anasema kuwa viongozi waTanganyika ndiyo tatizo. https://m.youtube.com/watch?v=upbVqLpdVmk Viongozi wa Zanzibar na wananchi wa Zanzibar wanajitambulisha kama...
4 Reactions
7 Replies
10 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,029
Posts
49,504,320
Members
666,928
Latest member
Maxnnko
Back
Top Bottom