Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kila nikitafakari naona wazee wa Kataa ndoa wapo sahihi hasa baada ya kusoma kitabu kiitwacho ' The Manipulated Man by Esther Vilar (1971)' Muandishi wa kitabu hicho ni mwanamke ambaye kwa kifupi...
3 Reactions
30 Replies
209 Views
Haya bhana, kila la heri, kocha wa ngapi sijui huyu anaondoka lakini Matola kabaki kisiki cha mpingo. Ngoja tuone .
1 Reactions
15 Replies
223 Views
Unapopanda gari la umma kama kiongozi mwenye dhamana jiandae kisaikologia pia kushuka na kuwa RAIA wa kawaida. Tunategemea kupata mabadiliko makubwa katika nyanja ya kisiasa kuanza mwezi Mei,2024...
15 Reactions
76 Replies
3K Views
Kwa wapenzi wa Bollywood na matawi yake tungejikusanya hapa kupeana mawili matatu
2 Reactions
71 Replies
3K Views
Mimi si dakari wala mtaalamu wa mambo ya lishe, bali nimejaribu kusoma vyanzo mbalimbali kuhusu huu ugonjwa na kote nilikupita sijaona palipoandikwa moja kwa moja kuwa sukari ndio chanzo cha...
1 Reactions
12 Replies
13 Views
Habari zenu WanaJF mko poa kabisa, Bila kuchelewa niende kwenye mada ya leo, Niko Dodoma kibiashara nilichojione kinaleta raha Fulani hivi, aisee Dodoma kutamu jamani. Nilianza na upande wa...
39 Reactions
351 Replies
13K Views
Wakuu..mtoto miaka 6 anaenda 7 hivi ni haki kulala na wazazi mama yake anangangana kuwa ni kawaida. Ana chumba chake kizuri na cha gharama kwel ila toto linataka lala na mama. Mnaonaje wakuu...
9 Reactions
42 Replies
1K Views
Ndugu zangu kuna siri imejificha miongoni mwa wanawake ambao ni walimu , kuna namna hata kama kazaliwa mwaka 2000 anakua tofauti na hawa watoto wa penda pesa, vinguo vya hovyo na tamaa kedekede...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Guys ninaomba ushauri, Nina mwanamke wangu nilikuwanaye kwenye mahusiano tangu nipo nasoma mpaka namaliza lakini ilinichukua kama mwaka na nusu bila kupata kazi. Wakati huo yeye alikuwa na kazi...
12 Reactions
70 Replies
2K Views
Habari wakuu Najua JF ni kisiwa cha habari na maarifa pia kumekuwa na nyuzi nyingi ambazo sisi kama member tumekuwa tunazisoma. Basi mkuu ni hivi, wewe kama mwanaJF uzi gani ulikuvutia sana na...
10 Reactions
89 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,336
Posts
49,516,355
Members
667,078
Latest member
Tabakha
Back
Top Bottom