Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mnaosemaga US na EU ndo baba wa haki za binadamu mko wapi? Mnaoamini demokrasia feki za madola ya magharibi mko wapi? #BREAKING: The US threatens the International Criminal Court in The Hague...
0 Reactions
3 Replies
23 Views
Shalom, Kama mdau wenu mimi Wadiz naandika yafuatayo katika Hali ambayo naamini ndiyo ipasayo katika hoja mbalimbali zenye mashiko na kulinda uhalali wa baadhi ya wenye kukataa kuoa. Na katika...
4 Reactions
30 Replies
298 Views
1) Mfalme Nero 2) Mfalme Nebuchadnezzar 3) Alexander the Great 4) Adolf Hitler
1 Reactions
32 Replies
352 Views
Kusema kweli jf kwani ni lazima mje na maboresho kila siku?App yenu ilikua poa sana siku za nyuma na miaka ya nyuma, labda changamoto ilikua ni baadhi ya nyuzi kutofunguka kwenye app labda kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mtangazaji Nguli, Mwanahabari na Mwandishi wa habari mashuhuri Afrika Mashariki na Kati, Salim Kikeke amejiunga na Redio/TV ya Crown FM/TV inayomilikiwa na Alikiba. Hii ni baada ya Alikiba...
3 Reactions
21 Replies
425 Views
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika. Huwa najiuliza...
15 Reactions
192 Replies
2K Views
CHATANDA APOKEA VYEREHANI 125 KUTOKA UBALOZI WA CHINA, KUIMARISHA UCHUMI WA WANAWAKE NCHINI Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Mary Chatanda (MCC) ampokea Vyerehani 125 vilivyotolewa na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kiongozi Mkuu wa ACT WAZALENDO, Zitto Kabwe, katika maelezo yake amedai kwamba walifikia Makubaliano na Mbowe ili yeye achukue uenyekiti wa Chadema baada ya Mbowe, Amezungumza mengi , lakini...
12 Reactions
69 Replies
2K Views
Umuofia kwenu, kwa takribani miezi minne sasa nilishuhudia mbegu mpya kabisa ya panya nyumbani kwangu. Panya hao wana muonekano tofauti na hawa wetu na cha ajabu kabisa wanawawinda panya wale wa...
4 Reactions
26 Replies
160 Views
Unapofanya tendo la ndoa na Mtu yeyote, unajenga muunganiko wa kiroho na kimihemko, na huyo mtu. Ni jambo gumu sana kumsahau mtu ambaye mlikuwa na uhusiano wa namna hiyo, hamjaachana Kwa vita au...
10 Reactions
37 Replies
814 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,544
Posts
49,522,399
Members
667,165
Latest member
REBAMS
Back
Top Bottom