Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Watumishi wa umma wengi sasa hivi wanafuatilia issue ya kikokotoo cha mafao yao ya baadaye. Hata hivyo wapo watumishi wa umma ambao wapo kimya kuhusu kikokotoo labda kwa kuwa miaka yao ya...
9 Reactions
165 Replies
2K Views
Uzi maalumu kwa watu waliokuwa wanahudhuria nyumba za ibada na baaadaye kuacha, weka sababu yako hapa, we unayehudhuria tupe sababu ya kuhudhuria (achana na zile za dini yangu ni bora, na ya kweli...
17 Reactions
173 Replies
4K Views
Ulizingatia umri wako na wake, nidhamu, heshima na utii, uaminifu, upendo, hekima, busara, fedha, mali, kazi yake, hali na maisha ya familia yake au cheo chake... Au ulizingatia siha na tabia...
2 Reactions
16 Replies
106 Views
Kabla ya Ujenzi wa hekalu La Suleiman, Mambo yafatayo yanatangulia kwanza 1) Kutoa sadaka ya ng'ombe mwekundu. 2) Hii sadaka ni kwa ajili ya kutakasa eneo la Ujenzi wa hekalu. 3) Tayari wa Israel...
8 Reactions
27 Replies
1K Views
Utafiti wangu mdogo nilioufanya nimegundua, watu wanaojua matumizi ya hela akaunti zao zinasoma hela ndogo ndogo tu; kama elfu kumi, ishirini au hamsini na haizidi laki; ila kwa wale wasiojua...
3 Reactions
21 Replies
110 Views
Nashauri hii mikopo ya elimu ya juu ifutwe,mbona wanachuo wenzao wa diploma wanasoma bila mkopo na hatusikii kelele zozote? Tofauti yao na wenzao wa diploma ipo wapi? Nimeona serikali inataka...
4 Reactions
32 Replies
296 Views
Ni Katika sherehe za miaka 60 ya Muungano Ngoja nifanye Mpango wa kuweka picha husika kutoka kwa Liberatus ukurasani X Mlale Unono 😄😄
2 Reactions
25 Replies
520 Views
Ndugu wasomi wa Tanganyika moja kwa moja kwa muda. Mimi nina degree ya elimu kifupi ni mwalimu, nataka kusoma icho kitu hapo juu. ....Vipi wenye mamlaka wanaweza kunibadilisha kutoka kwenye...
2 Reactions
4 Replies
72 Views
Kumekuwa na wimbi kubwa la wachezaji kutoka pande zote za bara la Afrika (kaskazini, mashariki, magharibi, kati, kusini) kuingia katika ligi yetu hasa vilabu mbalimbali hapa nchini. Hivi hawa wa...
0 Reactions
3 Replies
19 Views
Hii huwa inanishangza,je mpira ni kipaji au kujituma? Kibu ana kipaji au anajituma Utaambiwa anajituma
2 Reactions
18 Replies
230 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,112
Posts
49,508,350
Members
666,954
Latest member
Ngitejo
Back
Top Bottom