Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nyumba Inauzwa. Ipo Vingunguti kituo msikitini karibu na Tabata Barakuda. Ina Vyumba vinne(4), hakuna master bedroom. Eneo Sqm 135.73 Ina leseni ya makazi. Bei Milioni 85 Karibu sana mteja...
8 Reactions
42 Replies
910 Views
Wakuu habari za weekend Mimi nina changamoto ya mahusiano kwanza sijawahi kuwa na mahusiano ya kudumu yaani yatoboe mwaka sijawahi mengi ni muda mfupi sana yaani mpaka nawaone wivu wale wenye...
1 Reactions
42 Replies
167 Views
Yaani kama kuna Siku ambayo GENTAMYCINE nitajikita Kusoma sana tu Comments zenu basi ni katika huu Uzi wa leo.
2 Reactions
27 Replies
188 Views
Salaam, Shalom!! Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli. Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO, 1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI...
32 Reactions
447 Replies
16K Views
Kwenye korido za makao makuu ya CCM Dodomana Lumumba,kuna tetesi kuwa kamati ya maadili imemuonya Makonda aache koropoka . Hiko hivi,watu wengi hawakuwawakijua kuwa mama yetu anatukanwa huko...
7 Reactions
72 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
Huu ni mkasa unaoenda mwanzo mpaka mwisho wake. Enjoy. Leon ana talanta ya kupiga picha lakini bado haijamlipa kama vile yeye anavyotamani. Anaamini anastahili kupata zaidi na zaidi na jambo...
4 Reactions
15 Replies
229 Views
Nitafuahi nikijibiwa manake kuna mwaka nilienda na Mtu mmoja niliyekuwa namheshimu sana huko Bandarini na hakika kwa jinsi wala Wafanyakazi walivyokuwa Wakitukana huku wakiendelea vyema tu na Kazi...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Wewe ni tajiri au masikini?? Tuwekee picha tuone maana mmezidi kujitapa nyie matajri
1 Reactions
5 Replies
18 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
162K Replies
4M Views

FORUM STATS

Threads
1,849,197
Posts
49,511,291
Members
667,003
Latest member
JustinDrude
Back
Top Bottom