Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
162K Replies
4M Views
Wakuu habari za muda huu, Nipo zangu natoka Mwanza kuelekea Sengerema nmepanda hii MV Mwanza kwakweli usafi wa vyoo sio mzuri hata kidogo na cha ajabu hivi vyoo naona vipo pembeni na canteen yao...
2 Reactions
9 Replies
102 Views
Mnyonge mnyongeni haki yake Mpeni Zitto Kabwe kasema ukweli CCM ingekufa 2015 Mungu wa mbinguni mbariki Dr Kikwete kwa Kumleta Shujaa Magufuli aliyepindua meza Mungu wa mbinguni mbariki Zitto...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari za Wakati huu. Hivi inakuwaje Nyaraka zetu kama barua, mitihani, vyeti, nk zinatumika kufungia mandazi, vitumbua, mchicha, nk Leo nimenunua chapati nje ya chuo cha MUHAS na kifungiwa...
3 Reactions
3 Replies
18 Views
Nashauri hii mikopo ya elimu ya juu ifutwe,mbona wanachuo wenzao wa diploma wanasoma bila mkopo na hatusikii kelele zozote? Tofauti yao na wenzao wa diploma ipo wapi? Nimeona serikali inataka...
4 Reactions
57 Replies
480 Views
Salaam, Shalom!! Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli. Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO, 1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI...
32 Reactions
433 Replies
16K Views
Mtoto wa mjini kipaumbele Cha kwanza kuvaa. Huwezi kuwa mtoto wa mjini unaendekeza kula kuliko kuwa nadhifu ,unafeli mchana kweupe.
1 Reactions
8 Replies
9 Views
Wakuu habari, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21 sasa, niko chuo X. Naomba niende straight kwenye point wakuu maana nahitaji msaada wa haraka sana. Nimetokea kumpenda binti flani ambaye niko...
5 Reactions
137 Replies
1K Views
Ulizingatia umri wako na wake, nidhamu, heshima na utii, uaminifu, upendo, hekima, busara, fedha, mali, kazi yake, hali na maisha ya familia yake au cheo chake... Au ulizingatia siha na tabia...
5 Reactions
37 Replies
387 Views
Wakuu, Mimi nakumbuka nilijaribu kupika wali. Nikaandaa kila kitu freshi, weka mchele wangu safiii 😂😂😂. Wakuu nilitoa bokoboko si la nchi hii, jina likabadilishwa fasta nikaanza kuitwa...
10 Reactions
101 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,178
Posts
49,510,684
Members
666,991
Latest member
swel
Back
Top Bottom