Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Uzi maalumu kwa watu waliokuwa wanahudhuria nyumba za ibada na baaadaye kuacha, weka sababu yako hapa, we unayehudhuria tupe sababu ya kuhudhuria (achana na zile za dini yangu ni bora, na ya kweli...
5 Reactions
58 Replies
1K Views
Mimi hata ukinipa million 5 sasa hivi siwezi kujibania lazima ipigwe kiberiti kazi ya Hela sio kuwekwa chumbani au kuhifadhiwa.. Unajenga nini lijumba kubwa wakati una mwili mdogo we huoni wazungu...
1 Reactions
3 Replies
33 Views
Habari wana jukwaa age : 23 gender: Male nahitaji kazi yeyote ya night shift kwani mambo yamekuwa magumu sana. ni mwanachuo mwaka wa tatu. na course nnayo soma ni miaka mi 4 na financially...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Droo ya robo fainali ilipotoka nilishangaa watu kuwaogopesha yanga kuwa mamelodi watawafunga na kuwapongeza Simba kuwa wamepangwa na vibonde. Ashakhum si matusi, mashabiki wabongo pamoja na...
9 Reactions
46 Replies
810 Views
Mapambano ya kudai haki bado yanaendelea , Ambapo leo Maandamano ya Amani ya kupinga dhiki , ugumu wa Maisha , Kikokotoo na Sheria Mbovu za Uchaguzi , Yamefika Mkoani Singida , Yakianzia Singida...
2 Reactions
21 Replies
457 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
511K Replies
29M Views
Kama ni kweli kocha Benchika anaondoka mwisho wa msimu, hakuna haja tena ya simba kutafuta kocha kutoka mbali au kocha mwenye rangi nyeupe. Ibenge ni mmoja kati ya makocha wenye CV kubwa barani...
2 Reactions
37 Replies
363 Views
Nimeangalia clip ikionyesha boda boda wakilalamika kuhusu kukosa msaada muda mrefu kwa majeruhi ambaye ni mpiga picha wa office ya millard ayo. Je amejifunza nini kama nchi yake inaweza...
1 Reactions
10 Replies
332 Views
Ujumbe wao huu hapa Pia soma!
9 Reactions
37 Replies
2K Views
Ni sehem gani Tanzania naweza kupata mbegu nzuri ya mbuzi
0 Reactions
5 Replies
22 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,002
Posts
49,503,627
Members
666,913
Latest member
pali akili
Back
Top Bottom