Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jamani mwenye connection za gest za 5000 kwa mbeya anipe, au za bei poa naeza nkakaa.
0 Reactions
14 Replies
207 Views
Zitto Kabwe amesema mwaka 2012 alipata changamoto chama chake cha wakati huo cha CHADEMA akidai ilikuwa juhudi ya kumzuia kuwa mwenyekiti wa chama hicho, Zitto amesema kulikuwa na makubaliano...
6 Reactions
80 Replies
2K Views
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress...
36 Reactions
119 Replies
3K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
162K Replies
4M Views
Hakika Mkuu wa Mkoa wa Arusha ameweka Rekodi ya kuwa kuwa Kiongozi anayeombewa sana na VIONGOZI wa Dini. Kwa muda mfupi uliopita Bwana Makonda ameombewa na Viongozi Wafuatao 1. Kardinali Pengo...
4 Reactions
32 Replies
1K Views
== Haya ndio matokeo ya Upigaji kura za maoni kule Jamii forums kwenye Jukwaa la Siasa, Mwendeshaji wa POLL ile ametaka kujua ni mwanachama gani wa CCM hasa Watanzania wanamuhitaji katika nafasi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Diwani mstaafu wa Kiromo anayeitwa Hassan Wembe, ambaye hana historia nzuri sana, amefanya jaribio la kihuni na kuudhi kwa kumzushia tuhuma za uongo aliyekuwa waziri Awamu ya Nne, mh. Shukuru...
15 Reactions
72 Replies
4K Views
Wakuu..mtoto miaka 6 anaenda 7 hivi ni haki kulala na wazazi mama yake anangangana kuwa ni kawaida. Ana chumba chake kizuri na cha gharama kwel ila toto linataka lala na mama. Mnaonaje wakuu...
8 Reactions
25 Replies
591 Views
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake 1. TPDC 2. TCRA 4. Ngorongoro 3. Ewura 4. WCF 5. TBS 5. TANAPA 5. Tume ya madini 6...
90 Reactions
2K Replies
521K Views
Salaam, Shalom!! Nimefuatilia Kwa ukaribu jinsi waziri Jerry Slaa anavyofanya katika utatuzi wa migogoro ya ardhi, japo Bado ni mapema sana kusema kuwa anafanya vizuri, lakini Kwa sasa itoshe...
18 Reactions
140 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,122
Posts
49,508,826
Members
666,980
Latest member
nyamwitanga
Back
Top Bottom