Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Watanzania tumekuwa na tabia ya kuchukulia mambo juu juu na kuhamaki kabla ya kuyaangalia Kwa undani na kutokana na kutokuaminiana kwenye masuala ya fedha kila kitu tunakihusisha na upigaji...
1 Reactions
6 Replies
69 Views
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa. Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki. Wapo...
41 Reactions
397 Replies
17K Views
Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na...
41 Reactions
202 Replies
5K Views
Bodi, Hiki kizazi chetu cha kiume kwa sasa kina shida sana. Why? 1. Kizazi kivivu kinachoamini katika mserereko kuliko kufanya kazi na mazoezi 2. Kizazi hiki kinaweza kuwa ndio kizazi...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali. Matokeo ya kura...
81 Reactions
573 Replies
14K Views
1. Hakuna Msaniii yoyote mkubwa wa Congo DR kuanzia kwa JB Mpiana, Koffi Olomide, Werrason, Felix Wazekwa, Roga Roga na Bendi yake ya Extra Musica, Fally Ipupa na Ferre Gola utamuita aje nchini...
2 Reactions
4 Replies
123 Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
103 Reactions
220K Replies
16M Views
  • Article
Leo nimeona video ambao imewekewa sauti ya mtu akisema wametumiwa video hiyo kwenye group la shule ya Themihill, video hiyo inaonesha mtu akifungua kitu kinachoonekana kama pen (kalamu) ambacho...
5 Reactions
68 Replies
2K Views
Kozi ya bachelor of arts in economics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gan?
1 Reactions
19 Replies
202 Views
Hii vita ni kali sana na ilianza tangu wakati wa Nyerere alipotaifisha majumba ya watu wa asili ya watu fulani..Ikaendelea wakati wa Mkapa alipochoma ngano za mfanyabiashara fualani bila vigezo...
10 Reactions
51 Replies
812 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,966
Posts
49,502,143
Members
666,900
Latest member
Unyade wade
Back
Top Bottom