Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

https://youtu.be/eUUnl7CWnPI?si=OkafsiKrzHNEojXT
1 Reactions
1 Replies
49 Views
Rais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke Source: TBC
9 Reactions
81 Replies
2K Views
Wasalamu ndugu,Bungeni Leo wamesema kibali Cha Ajira kimetoka. Nawashauri vijana ambao mnategemea kuomba hasa zile za kuaaply mfanye maandalizi mapema. 1.Vyeti vyako visiwe mbali na wewe 2.Simu...
18 Reactions
37 Replies
2K Views
Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za mpira wa Miguu (IFHHS) limetoa takwimu ya Ligi 10 bora Afrika kwa mwaka 2023 na Tanzania imeshika nafasi ya 6 kutoka ya 5 mwaka 2022. Pia kidunia...
6 Reactions
32 Replies
1K Views
Salamu Wakuu, Nimegundua Suala la uaminifu bado ni changamoto kubwa sana hapa nchini Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko mengi ya watu kupatiwa fedha pungufu kila wakichukua hela kupitia kwa...
4 Reactions
55 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume nimeoa, ndoa ina miaka mitano sasa. Mke wangu amebadilika sana, amekua ni mtu wa kila siku usiku yeye analalamika tu amechoka, na akiingia kitandani ni skeunde 10 tu amelala. Kuna...
60 Reactions
231 Replies
12K Views
Salaam, Shalom. Samahani Kwa waliozaliwa 2000+, Miaka ya 90 kurudi nyuma, yalikuwepo majiko ya umeme katika nyumba nyingi za watumishi wa umma, mapolisi, mahakimu, bankers, watoza ushauri...
12 Reactions
70 Replies
656 Views
Habari wadau! Ukitaka kujua tabia nzuri au ngumu za baadhi ya wazazi subiri atakapokufa mmoja! Jambo kama hili huwa linatatulikaje? Baada ya kifo cha baba wa familia yenye watoto wakubwa na...
2 Reactions
18 Replies
323 Views
Kwa wapenzi wa soka Weekend tukiwa hatuna mishe tunajifungia ndani tunaangalia mpira au tunasogea vibanda umiza kupata burudani,Mimi binafsi huwa naangalia mechi zote za jumamosi na jumapili,you...
14 Reactions
116 Replies
5K Views
Muuza madafu katika Moja na mbili😊
18 Reactions
73 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,848,872
Posts
49,498,042
Members
666,860
Latest member
Mr Ntinginya
Back
Top Bottom