Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini. Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi. Baada ya kusolve na...
0 Reactions
19 Replies
294 Views
kwa siku, wiki, mwezi au mwaka kwa upande wako unaspend muda mrefu na bando kubwa zaidi ya data ukiwa kwenye ukarasa upi miongoni mwa kurasa nyingi tu, za mitandao ya kijamii humu duniani...
2 Reactions
43 Replies
395 Views
Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na...
12 Reactions
47 Replies
737 Views
Natoa heshima zangu kwa wote waliopo katika jukwaa hili la JamiiForums. Kwa miaka mingi nimejikuta nikipata maarifa na ujuzi wa kutosha kupitia jukwaa hili (Jforums). Nimefanikiwa kupata maarifa...
2 Reactions
10 Replies
53 Views
Kwa mimi binafsi naona 1.Nikki mbishi wa tamaduni muzik 2.Leonardo wa cheka tu Taja wa kwako
2 Reactions
34 Replies
247 Views
Narudia Tena Kwa mfano mods mnielewe siungi mkono ujangili wala vitendo vya kuua tembo ila sasa assume tu umekutana na hilo zali porini kweli ukafanikiwa kulificha chumbani kwako enhe step ya...
0 Reactions
10 Replies
92 Views
Mfumo wa vyama vingi umeongeza Demokrasia na kupunguza Uzalendo Kwa mfano Leo Chadema badala ya kusherehekea Miaka 60 ya Muungano wao Wanaandamana mikoani kupinga Kikokotoo Uzalendo unatoweka...
3 Reactions
31 Replies
553 Views
Namwona Eric Omond ni mtu mwenye moyo sana. Namwona kama mtu anaye ishi maisha halisia kabisa. Hata komedi zake hazina uongo uongo kabisa. Ukiangalia hii video unaweza toa machozi. Jamaa...
1 Reactions
4 Replies
14 Views
Naomba msaada kwa wale wataalamu wa kuroot simu nina simu aina ya Tecno k7 naitaji kuiroot naweza kutumia njia gani rahisi bila kurumia computer. Asanteni.
0 Reactions
10 Replies
164 Views
Wiki ya Maandamano bado inaendelea , ambapo leo imefika Mkoani Mara . Hapa Mkoani Mara anayeongoza Maandamano haya ni yule yule Mwamba Kabisa Freeman Mbowe Usiondoke JF kwa vile inatarajiwa...
0 Reactions
9 Replies
301 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,776
Posts
49,494,647
Members
666,823
Latest member
jay_mtani
Back
Top Bottom