Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ukweli ndio huo Watanganyika hua mnafuata nini zanzibar? Mbona sioni sababu ya msingi ya ninyi kwenda huko na sioni mnalofuata huko, Bakini kwenu mjenge kwenu wale wakija wakaribisheni, wala...
2 Reactions
16 Replies
69 Views
Tuliozoe Chadema wakiguswa Marekani anatoa kauli. lkn hivi sasa yanatokea Marekani wanafunzi wanondamana na kuchezea mkongoto sidhani Mareakni anaweza kusimama kukemea nchi nyengine raia wake...
0 Reactions
11 Replies
12 Views
Salaam, Shalom. Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo. Cha kushangaza wanaibuka viongozi...
10 Reactions
64 Replies
750 Views
Poleni Kwa msiba huu wa Zuchi. Kamanda akiwa katika majukumu ya kazi kapata ajali, kafariki kaacha watoto wawili, vipi kuhusu mirathi na stahiki nyingine za marehemu? NB: Waajiri walazimishwe...
2 Reactions
24 Replies
966 Views
Nimeiona hii video ya kijana Ali mwenye ulemavu na tatizo la kifafa. Nimesikitika sana alichofanyiwa na wananchi wenzetu wa Zanzibar. Huyu kijana kwa wanaomjua wanasema amekulia Sinza na ni...
2 Reactions
33 Replies
487 Views
Ndugu zangu Watanzania, Hakuna mtanzania mwenye akili Timamu ambaye huwa anapenda ubaguzi au kubaguliwa au kumuunga mkono mtu anayeona amejaa mawazo ya kibaguzi na chuki katika kifua chake.kwa...
0 Reactions
5 Replies
6 Views
Tundu Lissu akielezea kuhusu muungano wa mchongo. Aelezea kuhusu wapinga muungano wa kizanzibari kutekwa na kuwekwa vizuizini, Jumbe na wenzake. Sikilizeni hapa cheche zake.
18 Reactions
84 Replies
3K Views
Huu apa Uzi wa Manchester united msimu wa 2024-25 ugenini. Unaupa asilimia ngapi za ubora wa designs na muoneiano?
2 Reactions
5 Replies
179 Views
1. Vyuo vikuu au taasisi za elimu ya juu ni sehemu nyeti kwa usalama wa taifa kama ilivyo kwa jeshi na sehemu zingine kama hizo. "Columbia University students say protest highlights ‘Bigger...
3 Reactions
21 Replies
630 Views
Habari wakuu naombeni msaada, Gafla king'amzi changu cha Azam kimeanza kuonesha Channel za startimes, ni baada ya kuishiwa kifurushi, Cha ajabu leo kiliomba ni search new channel na baada ya hilo...
0 Reactions
30 Replies
272 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,932
Posts
49,532,597
Members
667,285
Latest member
gee dara 2024
Back
Top Bottom