Nimecheza Mpira na naujua vyema tu Mpira hivyo nikikuambia hujui mpira au fulani hajui mpira Wewe nikubalie tu tena kwa 100% kwani huwa sibahatishi. Haya nyie Viongozi wa Simba SC upesi sana...
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
Wakuu habari za muda huu,
Nipo zangu natoka Mwanza kuelekea Sengerema nmepanda hii MV Mwanza kwakweli usafi wa vyoo sio mzuri hata kidogo na cha ajabu hivi vyoo naona vipo pembeni na canteen yao...
Mnyonge mnyongeni haki yake Mpeni Zitto Kabwe kasema ukweli CCM ingekufa 2015
Mungu wa mbinguni mbariki Dr Kikwete kwa Kumleta Shujaa Magufuli aliyepindua meza
Mungu wa mbinguni mbariki Zitto...
Habari za Wakati huu.
Hivi inakuwaje Nyaraka zetu kama barua, mitihani, vyeti, nk zinatumika kufungia mandazi, vitumbua, mchicha, nk
Leo nimenunua chapati nje ya chuo cha MUHAS na kifungiwa...
Nashauri hii mikopo ya elimu ya juu ifutwe,mbona wanachuo wenzao wa diploma wanasoma bila mkopo na hatusikii kelele zozote?
Tofauti yao na wenzao wa diploma ipo wapi?
Nimeona serikali inataka...
Salaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI...
Wakuu habari,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21 sasa, niko chuo X. Naomba niende straight kwenye point wakuu maana nahitaji msaada wa haraka sana. Nimetokea kumpenda binti flani ambaye niko...
Ulizingatia umri wako na wake, nidhamu, heshima na utii, uaminifu, upendo, hekima, busara, fedha, mali, kazi yake, hali na maisha ya familia yake au cheo chake...
Au ulizingatia siha na tabia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.