Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Inaeleweka wazi kukaribiana au kupakana na kisiwa ni hatari kwa security ya nchi ndo mana nyerer aliona mbali na kukinyakua. Sasa akina lisu wenye akili finyu hilo hawalioni na wengine wenye fikra...
1 Reactions
11 Replies
65 Views
Moja kwa moja kwenye mada… Huyu rafiki yangu alinitongoza sana. Yani miaka 3 straight anafukuzia tu, nipe nipe.. Mapenzi game la nyoka bwana, nikaachika huko. Nikasema nimpe chance huyu mgaagaa...
30 Reactions
148 Replies
1K Views
Siasa ni mchezo fulani hivi na mara nyingi safu za Uongozi wa Upinzani hupangwa na CCM. Ndio sababu Zitto Kabwe alipotaka kwenda CCM akawe Waziri, Rais wa Wakati Ule alimwamuru asubiri kwanza...
0 Reactions
3 Replies
26 Views
Challenge kwenu wadau
0 Reactions
16 Replies
223 Views
Tanzania ni kati ya nchi za Duniani ambayo ina unafuu mkubwa wa maisha na fursa lukuki ukilinganisha na mataifa mengine ni kutuliza tu akili yako kusaka ramani , Wapo vijana ambao...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Nyerere aliona mbali sana si ajabu kusingekuwa na muungano tungalikwisha pinduliwa zamani au kuvamiwa na maadui kupitia kisiwa cha Zanzibar. Kumbukeni Nyerere hakuwa mjinga kama mnavyofikri hasa...
0 Reactions
22 Replies
217 Views
Ndugu zangu salaam Tulisha ongea na kuandika sana kuhusu single maza na maoni yalitolewa mengi sana ,ila kuna watu hawataki kusikia kabisa sasa jibu rahisi kama unataka kuoa single maza (...
19 Reactions
64 Replies
2K Views
Vuguvugu linaloendelea nchini Marekani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kuandamana kuhusiana na vita vya Israel na Palestina limeingia hatua nyengine baada ya viongozi wa Iran na Yemen chini ya Houth...
1 Reactions
9 Replies
219 Views
  • Poll
Taarifa kamili kutoka ndani ya makao makuu ya chama zinasema kuwa chama hiko kwasasa hakiwezi kuwa pamoja either mmoja kati ya Mbowe au Lissu aondoke ndani ya chama hicho. Mzozo mkali umeibuka...
7 Reactions
90 Replies
4K Views
Wakuu Tanesco ni shida sana, kuna muda leo niliwasha TV mapema mida ya saa nne saa 3 hivi nikaweka upande wa redio wakati nikiwa najiandaa kutoka kwenda mihangaikoni ghafla umeme ukakatika kama...
0 Reactions
5 Replies
44 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,859
Posts
49,557,507
Members
667,686
Latest member
Shagihelo
Back
Top Bottom