Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wiki hii tumejionea baadhi ya wanavyuo wakijaribu kukusanyika kuwaatetea Hamas (ni wanafunzi hao hao wengi walikuwa na furaha siku ya October 7 Hamas walipoivamia Israel). Maafisa wa polisi...
6 Reactions
48 Replies
597 Views
Nimepita stand ya Nanenane Dodoma leo, kuna kitu sijakielewa. 1. ukiingia na gari, wanakulipisha ushuru wa kuingia na gari. na wanakupa tiket. 2. ukipaki gari, unapoingia kwa abiria unalipishwa...
3 Reactions
17 Replies
274 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
162K Replies
4M Views
Miaka ya hivi karibu jamii ya Wakinga ni kama imeamua kuwa serious kupambana na umaskini. Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki. Unfortunately maneno yamenza mara...
13 Reactions
40 Replies
1K Views
President Kikwete and President Bush at the Ocean Road Cancer Institute where they took part in a tele conference with other dignitaries in the US during a World Aids day meeting at the...
3 Reactions
38 Replies
7K Views
Nahitaji simu ya kawaida kabisa bajeti yangu laki na 30. Kikubwa iwe ina uwezo wa kutoa audio inayo sikika vizuri. Iwe Type C ambayo inaweza kutumia vile vi microphone vya sh elfu 25. Nakumbuka...
1 Reactions
46 Replies
506 Views
Je, umewahi kubadili dini uliyopewa na wazazi au walezi wako wa mwanzo? Familia ndugu jamaa walikuchukulia vipi baada ya kufanya uamuzi huo?
1 Reactions
18 Replies
276 Views
Hivi vile vitambulisho vya wauza madafu (wajasiriamali) viliishiaga wapi? eti TSH 20,000/=?
2 Reactions
19 Replies
196 Views
Wakati sherehe za ubingwa WA bonanza wa MUUNGANO zinaendelea faham kwamba Simba siyo Tena Klabu ya Tano Africa wako NAFASI ya saba, baada ya Zamalek na Rs Berkane kufuzu fainali wanakuwa juu ya...
1 Reactions
8 Replies
363 Views
Mimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa...
2 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,380
Posts
49,517,751
Members
667,092
Latest member
Kevin bravo
Back
Top Bottom