Hii ni kwa sababu Ili uwe tajiri ni lazima utawaliwe na ubinafsi kwanza. Kama ukifuata dini kwamba usaidie wahitaji ipasavyo hautaweza kukusanya Mali au fedha kwa kuwa wahitaji ni wengi mno
Habari great thinkers
Nina boxer bm 150 niliyoitumia kwa takribani miaka 7 (84,000km mileage) sasa kuna mtu katokea anaitaka kwa 1,700,000/=
Sasa nilikuwa nafikiria nikiuza ninunue Shineray...
Habari wakuu, nguo ni mojawapo ya mahitaji matatu muhimu. Ni hitaji muhimu lakini bajeti yake nayo inabidi ichungwe hasa kwa kina sisi ambao bado uchumi haujawa stable.
Huwa nasikitika sana...
Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki
Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya...
"Wanadamu hatuwezi kuishi kwa amani wakati wote kwa sababu kila mmoja anapambana kuwa bora zaidi ya mwingine".
Nukuu kutoka kwa mwandishi mkongwe wa vitabu vya ziada katika masomo ya elimu ya...
Jaman Nina Safari ya kwenda Singida kesho
Tuko watu 3 na mizigo yetu
Tunaitaji gari la kutupeleka Tu
Mtu ambae Yuko interesting please nipm
Niko dar es salaam jaman sorry, swaumu Kali leo
Je unadhani hii itakuwa ni mwarobaini wa kero za usafiri wa Mwendokasi?
My Take
Naunga mkono hoja ila Mwekezaji awe mwenye uwezo isije kuwa kama zile treni za Wahindi za TRC
=====
Waziri wa Nchi...
Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.