Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naomba kuuliza juu ya Tangazo hili kama ni la kweli, maana linasambaa sana. [emoji120]
10 Reactions
147 Replies
7K Views
Mbunge asiyepoa wa jimbo la Kisesa wilaya Meatu Mh Mpina akichangia bajeti ya wizara ya Nishati na madini amempongeza Rais Samia kwa kumfukuza waziri January Makamba kwenye wizara hiyo kwani...
15 Reactions
63 Replies
2K Views
Ikiwa leo ni tarehe 2 November 2021 , kesi hii inayobeba sehemu kubwa ya habari za Tanzania inaendelea tena Mahakamani hapo . Baada ya ushahidi wa Muuza Mbege wa Rau Kukamilika , Leo upande wa...
49 Reactions
514 Replies
55K Views
Hello jukwaa la celebs Siku za hivi karibuni recently...Mwanamama Socialite wa Kenya Tanasha Dona ambaye ni mwanamziki wa miondoko ya rapper, ambaye alikuwa na mahusiano na msaani maarufu nchini...
0 Reactions
20 Replies
105 Views
Mimi nilijua hii Mvua itaishia tu kuwa na Madhara makubwa huko Tanzania ( Dar es Salaam ), Kenya ( Nairobi ) kumbe inaweza pia ikanyesha kwa Ukubwa huo huo na wenye Madhara zaidi hapa Kampala...
0 Reactions
0 Replies
9 Views
Nimekuwa katika mapenzi kwa miaka mingi ila ikafika hatua nikaamua kuachana nayo baada ya kujikuta naumia zaidi ya kufurahia. Nikajikita kwenye utafutaji wa pesa tu lakini kutokana na hali ya...
0 Reactions
6 Replies
110 Views
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari. Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo...
3 Reactions
41 Replies
492 Views
Wadau hamjamboni nyote? Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 25 Aprili, 2024.
4 Reactions
12 Replies
609 Views
Waaukumbi. American colleges and universities involved in the Palestinian protests: - Yale University University of Texas Columbia University Massachusetts Institute of Technology University...
1 Reactions
80 Replies
903 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,640
Posts
49,490,649
Members
666,783
Latest member
Borauzimaa
Back
Top Bottom