Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda...
9 Reactions
110 Replies
2K Views
Nyakati huja na nyakati hupita Na nyakati ambazo huja na kupita, zingine huja kwa namna yake na changamoto zake, na zinapokuja, huja ili zibadilishe kitu na ama kuharibu kabisa, Kikawaida, Ni...
6 Reactions
8 Replies
79 Views
Jamani, mimi sina la kuongeza hapa. Normal physiology na human taste inakubaliana na philosophy ya binadamu kwamba chakula fresh from the kitchen lazima kiwe kitamu kuliko kiporo. Ila linapokuja...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
🇬🇧🇸🇪 AstraZeneca is withdrawing its Covid vaccine worldwide, The Telegraph reports. The pharmaceutical giant recently admitted in court for the first time that its vaccine can cause a rare and...
0 Reactions
20 Replies
246 Views
Ni aje wakuu, hii ni post yangu ya kwanza kabisa, ndio kwanza nimeingia hapa. Like yako hapa ni ukaribisho rasmi kwangu. Ahsante
13 Reactions
49 Replies
293 Views
Kwa zile harakati za Wanaharakati wa wakati ule tuliokuwepo tunazikumbuka lakini walishindwa Huu mfupa Tundu Lisu ana dhamira ya kweli ya kuutafuna au ni mbwembwe Tu za Fisi kufuatilia mkono wa...
2 Reactions
19 Replies
167 Views
Jamani yule Jabali la siasa bora zenye Tija kwa taifa limeanza Phase 2 hapo jana. Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chadema Taifa ameonekana akiwa kwenye mkutani Mkoano Dodoma wilaya ya Mpwapwa huku...
8 Reactions
40 Replies
356 Views
Kwenye moccasin kati ya jay mo na country boy nani kampoteza mwenzake Mimi nimeipenda flow ya wizzy ngwair mdogo.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500. Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa...
80 Reactions
319 Replies
13K Views
Kwa sasa hivi Tundu Lissu ndiye mwanasiasa mwenye mvuto Tanzania. Hoja zake zinajadiliwa na kila mtu na zimepelekea hata vyuo kutunga mitihani kuhusu Muungano na hali ya siasa nchi ni. Mwanafunzi...
13 Reactions
25 Replies
480 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,443
Posts
49,604,619
Back
Top Bottom